hata siku moja jiwe haliaminiki ,ila kikubwa watambue kila kitu kina mwisho na mwisho wa siku hakuna kitu kizuri kama kutenda haki ili unaporudi uraiani wewe na familia yako muishi kwa amani na majirani na raia.Habari kama hizi hazina tija kwa taifa, chapa kazi kijana
Akajibiwaje?Sugu aliuliza iweje bashite ana ulinzi kumzidi hadi waziri mkuu?
Mkuu ungeandika Kiswahili tu hapa maana badala ya kuprove kwamba kweli wewe ni mtaalamu wa hii lugha, unaonesha kinyume chake.What a perfect explanation. In addition i beleive the system will fall because the people who operate it (Politician especialy ccm) and the head(president) turn blind eye to reality that the daily checks are needed to keep system working all the time(correcting their mistakes).
It just a matter of time before an important components of the system will wear out and crack, thats the fall of ccm will begin.
Alikuwa anachangia issue bungeni,si unajua bunge letu tena,waziri hana jibu zaidi ya tantalila.Akajibiwaje?
Duh.Alikuwa anachangia issue bungeni,si unajua bunge letu tena,waziri hana jibu zaidi ya tantalila.
Msafara wake ilikuwa una fujo sana kwa road.Ule ulinzi maalumu wa Ikulu umeondolewa punde baada ya Makungu kupata demotion
Kisha Amnoni akamchukia machukio makuu sana; kwa kuwa machukio aliyomchukia yakawa makuu kuliko yale mapenzi aliyokuwa amempenda kwanza. Amnoni akamwambia, Ondoka, nenda zako.
2 Samuel 13:15
Hapo ndipo watu wajinga wanapokosea. Huwezi kuidharau mamlaka ukabaki salamaKiburi kwa makamu na waziri mkuu kitapungua maana naibu rais alitanua kuliko hata rais
Fafanua basi mzee baba ...unatutesa sisi wazee wa Zinjanthropus na Dr Leakey. Hata corridors za laboratory tulikuwa hatukatishi ....It's the second law of thermodynamics at work. In a closed system, entropy tends to increase with time.
Leta unazodhani zina tija!Habari kama hizi hazina tija kwa taifa, chapa kazi kijana
usidanganywe kazi zinapigwa..unakumbuka raisi aliongelea watu wanatumia simu gerezani na wanapiga mpaka nje ya nchi...wamebadirisha goli tuKwa sababu ya ile bihashara pendwa ya watoto wa mjini. Bihashara za Cocaine, ambazo zilifanya jiji LA DSM lichangamke sana
mkuu hiyo Avatar yako ni Boeng 787-8?Kazi imeanza, kamanda Chahali anasemaje
Nishaulizwa na kufafanua katika post # 64 hapo juu.Fafanua basi mzee baba ...unatutesa sisi wazee wa Zinjanthropus na Dr Leakey. Hata corridors za laboratory tulikuwa hatukatishi ....