Kama kimeruhusiwa basi maana yake kimefanyiwa utafiti wa kutosha na wa kuridhisha kuwa hakina madhara kama kikitumiwa kwa kufuata maelekezo.
Tokea nipo mdogo umri wa Kisura natumia mouthwash na haijanidhuru chochote na kila nikienda kwa dentist naambiwa meno yangu na fizi ziko imara na...
Nimeusikiliza ufafanuzi wa kamanda Mambosasa.
Mimi naona kaeleweka kabisa.
Sielewi kwa nini mwanzoni hakueleweka.
Polisi hawajapiga marufuku hayo mavazi.
Na hawawezi kupiga marufuku kitu ambacho hakivunji sheria za nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.