Recent content by Jimmy Santadio

  1. Jimmy Santadio

    Picha: Yaliyojiri Kigoma katika mazishi ya Shida Salum (Mama yake Zitto)

    Dah! aiseee... yani wewe akili zako ni za ajabu sana.
  2. Jimmy Santadio

    Kwanini Nyerere hakujiita Mheshimiwa?

    Kwa sababu aliitwa mwenye fikra sahihi
  3. Jimmy Santadio

    Fahamu kuhusu Mwl Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania

    Nyerere kaanzisha harakati za kupinga ubaguzi afrika kusini. - Sishangai, maana hata kiswahili kakianzisha nyerere. Lakini umesahau kusema kwamba aliwahi kuishi mafichoni Dar akikimbia kutahiriwa. Mpaka wenyeji wake wakaamua kumuacha aishi na ngozi yake ya mbele aliyozaliwa nayo.
  4. Jimmy Santadio

    Asili ya neno washenzi ni watu wa bara...

    Duh!!! kazi kwelikweli. Sijui kama tatizo ni umri wako mdogo au ni ka-ubongo kako kadogo kanakokusumbua. Anyway, shule ndogo hapa chini inaweza kukusaidia. Neno shenzi ni neno la kiswahili ambalo asili yake ni kijerumani, neno la kijerumani ni "Scheiße". Hiyo herufi "ß" kwa kijerumani ni...
  5. Jimmy Santadio

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Kumtazama nyerere kwa jicho la tatu ndiyo kwanza unaanza leo? "welcome to the reality son". Watu wakisema kwamba nyerere ni muongo, dictator, mwoga wa mapambano ya kimawazo;.... wathao mnawaita siasa kali. Haya haya yaliyosemwa na tundu lisu kama yangesemwa na sheikh ponda au ustaadh bin jumaa...
  6. Jimmy Santadio

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Tumekuwa tukisema kwa miaka mingi sana kwamba nyerere alikuwa bumunda tuu, tunaitwa waislamu. Miaka kadhaa iliyopita miongoni mwa waja wa nyerere wa hapa JF, mmoja wao alisema nyerere ni zaidi ya mandela. Nikamjibu kwa kumwambia kwamba tofauti ya nyerere na mandela ni kwamba, Mandela angezaliwa...
  7. Jimmy Santadio

    Hadhi na heshima ya Baba wa Taifa iko mashakani

    Nyerere ana kashfa nyingi sana. Lakini huwezi kutaja upuuzi wa nyerere bila ya kuambiwa "mdini". Lakini kama inavyosemwa, uongo hupanda kwa lift na ukweli hupanda kwa ngazi. Kuna siku mtakubali tuu kama baba wenu wa taifa alikuwa mbulumundu mmoja tuu.
  8. Jimmy Santadio

    Maajabu mhe. Rais akiri wazi wazi; Amempigia mwanaye kura

    Kanisa lilituambia huyu ni chaguo la Mungu na sisi tukaamini
  9. Jimmy Santadio

    Ushindi wa Ridhiwani : Njia Ya Uwaziri Kisha Urais

    The irony is, you remembered The Kenyan Kenyattas and the Korean Kim ****ung; but you couldn't remember the American Bush father and Bush son. What a selective memory
  10. Jimmy Santadio

    CCM yashinda ushindi wa kishindo chalinze

    shhhhh!!!!!!! usiwape siri ya kuvurugikiwa kwao. Waambie zitto ni kirusi ndani ya chadema ili mambo yaendelee hivi hivi tuu kama yalivyo sasa.
  11. Jimmy Santadio

    Belgistan : Sharia showdown looms in Brussels where Muslims are now a majority

    Kwanini hushangai kuona Dar-es-salaam natives wanahamia miji mingine kutokana na rise of kristianite hapa Dar?
  12. Jimmy Santadio

    Belgistan : Sharia showdown looms in Brussels where Muslims are now a majority

    Duh! naona mtoa mada (O/P) amevurugwa kidogo kuona nchi yake imevamiwa na wageni waislamu.
  13. Jimmy Santadio

    Nelson R. Mandela: Hakuna damu yake iliyomwagwa na Makaburu, tofauti na wapinzani wa TZ wa leo

    Ama kweli siyo kila anayesoma maandishi anaelewa yaliyoandikwa....... Au umesoma tafsiri ya maggid mgengwa ya long walk to freedom?
  14. Jimmy Santadio

    Tanganyika imerudi

    Wazanzibari ni wenyeji hapa Dar-es-salaam kuliko nyinyi mliotoka sengerema, tukuyu na dongobeshi huko. Tuachieni ndugu zetu wazanzibar, na undugu wetu na wazenji haukuletwa na muungano, na utaendelea kuwepo hata baada ya Muungano.
  15. Jimmy Santadio

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    Anastahili kuwa waziri wa wanawake, wajawazito na watoto
Back
Top Bottom