Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,639
- 164,777
Ukifuatilia kwa makini kuhusu hili swala la muungano,utagundua kuwa limegubikwa na utata na inawezekana kabisa moja ya waasisi wa muungano huu(mwalimu Nyerere) alicheza "foul" na imekuwa ni siri ya mika nenda miaka rudi ila sasa wakati umefika hii siri lazima ijulikane tofauti na hapo ni kuvunja muungano.
Hapa sasa naanza kupata jibu ni kwanini siku zote mwalimu alikuwa mkali pale watu walipokuwa wakihoji uhalali wa muungano na muundo wake.Bila shaka alitambua kuna mengi yangefichuka ila sasa wakati umefika yaliyokuwa yakifichwa yatafichuka na hapa ndio naposema hata hadhi na heshima ya mwalimu katika hili taifa itakapochafuka.
Mbali na mapungufu ya juu ya uhalali wa huu muungano kama vile hati ya muungano n.k,kitendo cha siri za muungano kuwa hadharani ni doa kubwa kwa Baba wa taifa kwani siri hizo zitathibitisha kama muungano huu ni "haramu" au laa.
Time will tell.
Hapa sasa naanza kupata jibu ni kwanini siku zote mwalimu alikuwa mkali pale watu walipokuwa wakihoji uhalali wa muungano na muundo wake.Bila shaka alitambua kuna mengi yangefichuka ila sasa wakati umefika yaliyokuwa yakifichwa yatafichuka na hapa ndio naposema hata hadhi na heshima ya mwalimu katika hili taifa itakapochafuka.
Mbali na mapungufu ya juu ya uhalali wa huu muungano kama vile hati ya muungano n.k,kitendo cha siri za muungano kuwa hadharani ni doa kubwa kwa Baba wa taifa kwani siri hizo zitathibitisha kama muungano huu ni "haramu" au laa.
Time will tell.