Recent content by JIMMY HUSSEIN

  1. J

    Polisi wanavyotumia mbinu chafu kuua watuhumiwa wa ujambazi nchini

    Wao kuuwa police na ndugu zetu wengine ni sawa, ila police kufanya hvyo kwa majambazi inakua sio haki....ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga
  2. J

    Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Hali ya uchumi ni mbaya

    Inaon Inaonekana kabisa umeandika kisiasa zaidi badala ya kufikisha ujumbe
  3. J

    ARUSHA: Mwisho wa kutembea saa nne Usiku

    Bila hata hiyo amri kutolewa kwa Arusha ikiishafika kuanzia saa tatu, unaweza kujikuta uko mwenyewe barabarani,watu waliishazoea hivyo kutokana na matukio ya kiujambazi kwa mji huo, kwa wanaoish Arusha wanalijua hilo.....sio kila kitu serikali serikali
  4. J

    Rais Magufuli: TAKUKURU chunguzeni kampuni ya Robert Kisena (Simon Group)

    mawazo yako ni nn labda au unataka kutuaminisha nini...kwamba mbowe na genge lake wakiingia watakua watakatifu...haya mambo hayoto tokea au maana yako ni nn?
  5. J

    Rais Magufuli: TAKUKURU chunguzeni kampuni ya Robert Kisena (Simon Group)

    Acha mawazo mgando..tatizo sio chama tatizo ni watu/wanachama, sasa kama wanashughulikiwa tatizo liko wapi......
  6. J

    Tamko la Vyama vya Siasa kufuatia hali ya kisiasa nchini. Vyaipinga operesheni UKUTA ya CHADEMA

    Kuna watu wanatamani hii nchi iingie kwenye machafuko sijui hawaangaliagi taarifa ya habari na kusoma magazet yanayotokea huko siria na kuingineko....tusifate mkumbo wa wachache wenye viza zao mkononi wakati wewe hata pasipot huna,hongera kwa vyama vilivyoona umuhimu wa kulinda amani ya hii...
  7. J

    Denda asubuhi na boyfriend wangu

    Hilo si swala la kumwambia tu, tukaswaki kwanza ndio turudi kuendelea na mengine...mapenzi ni kuzungumza sio ubabe wala kulalamika...
  8. J

    Chepuko lenye "Nguvu za kiume"

    Michepuko mitamu lakini inaletaga umasikini jihadhari na hilo.....na ujue pia yupo mwingine pia anaepiga kisela kama wewe unavyopiga kisela....so jihadhari na magonjwa pia,kupima peke yake haitoshi.....kila la kheri
  9. J

    Facts: Kwanini Rais Magufuli atashindwa vibaya

    Wewe mwenyewe umeandika kisiasa zaidi badala ya fact zaid....pole kwakujifanya sheikh Yahaya, tutabilie na maisha yako baada ya miaka mitano yatakuaje na utakua wapi ukifanya nini.........
  10. J

    Sikujua mapenzi yana nguvu namna hii, nahisi kufa kufa

    Wewe mwenyewe pamoja nakwamba unampango wakumuoa huyo binti nina uhakika huwez kuwa huna msichana mwingine pembeni, tofauti yenu wewe na huyo binti ni kwamba wewe umegundua mahusiano yake mengine ila yeye hajayagundua mahusiano yako wewe mengine, ushaur wangu kaeni chini muongee ikibid...
  11. J

    Mke wangu ananikera na hii tabia ya kutokupenda kuvaa nguo

    Natamani sana nipate mwanamke mwenye sifa kama hiyo,huyo ni mkeo tena mko wawili ndani unataka ajishindilie manguo kama anaenda sokoni........mwache ajiachie
  12. J

    Msajili wa Vyama vya Siasa akemea Tamko la CHADEMA

    Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja, Magufuli hakukataza hiyo mikutano ya kisiasa ila alicho kataza ni mikutano ya siasa yenye lengo ya kumkwamisha katika kazi zake ambayo ni mikutano yenye lengo la kuchochea chuki kwa serikali na kuleta vurugu kwa wananchi, kwa mfano kabla hata ccm hawajaenda...
  13. J

    Tetesi: Millard Ayo Aacha kazi CloudsFM

    Acha chuki utakufa mapema
  14. J

    Diamond Platnumz Kununua Viewers na Followers

    Roho za chuki zinawatesa,wakanunue na wao huko wanakouzwa kama wananunulika, na subscribers youtube amenunua pia? haaa haaa
Back
Top Bottom