ARUSHA: Mwisho wa kutembea saa nne Usiku

ARUSHA: Mwisho wa kutembea saa nne Usiku

Hapa ndo napataga tabu nini kimetokea hadi tunza kuwapangi watu namna ya kuishi naona nchi imekuwa ya matamko kila kiongozi anatoa yakwake mpaka sasa sijui tunaelekea wapi
 
Wakuu,

Nilibahatika kwenda kwenye mkutano leo nikamsikia mkuu wa wilaya ya Arumeru akisema mwisho wa kutembea ni saa nne usiku. Yaani mpaka kufikia saa tano asionekane raia yeyote
zaidi ya askari polisi.

Huku akimsisitiza mkuu wa polisi "nadhani umenielewa" Hii imekaaje kihaki za raia wadau.

Ni Rais peke yake ndio anaweza kutangaza hivyo kama Amiri jeshi Mkuu kwa mujibu wa katiba kama kuna hali ya hatari hivyo huyo DC kama ni kweli basi ameingilia madaraka yasiomhusu, maana hiy
 
Bila
Wakuu,

Nilibahatika kwenda kwenye mkutano leo nikamsikia mkuu wa wilaya ya Arumeru akisema mwisho wa kutembea ni saa nne usiku. Yaani mpaka kufikia saa tano asionekane raia yeyote zaidi ya askari polisi.

Huku akimsisitiza mkuu wa polisi "nadhani umenielewa" Hii imekaaje kihaki za raia wadau.
hata hiyo amri kutolewa kwa Arusha ikiishafika kuanzia saa tatu, unaweza kujikuta uko mwenyewe barabarani,watu waliishazoea hivyo kutokana na matukio ya kiujambazi kwa mji huo, kwa wanaoish Arusha wanalijua hilo.....sio kila kitu serikali serikali
 
Back
Top Bottom