Wanapokuwa na hiyo hali kunakuwa na mawili aidha anampango wa kukuchuna tu na kusepa kwamba hana malengo yoyote na wewe na pia huenda anamawazo kwamba yeye n wa kupewa tu hanatabia ya kutoa fadhila so kama unampango wa kumuoa basi kaa naye vzr maana atakusumbua hawa viumbe wanamatatizo sana
Sasa kama mwanamke mwenyewe kiburi anajiona yeye ndio zaidi analeta maringo unadhani nitakaa naye vzr kweli??????
Hata mm nina moyo wa nyama bwana asiniburuze kama mpumbavu aaah
Kama angekuwa mstaarabu angeongea na mshkaji vzr kila siku kununa unataka nn kama sio kuachwa na mbaya zaidi...
Pole sana ndugu yangu tuko wengi wenye mambo kama hayo mm nakushauri kama vipi mwache tu asikuone boya bwana
Mimi nataka kumwacha hata huyu wangu maana naona sasa ananiona mm kiazi
Mwanamke anatakiwa kuwa mnyenyekevu msikivu nk kununa kwa mwanamke n kwa sababu gani asikuone mwehu bwana kwani...
Wanajamii Foram mimi nina mke ni mjamzito wa miezi nane, sasa huyu mwanamke kabla hajawa mjamzito n mvivu sana na anadeka kupitiliza yaani inakuwa kero mpaka nikienda kazini natamani nisirudi home mapema angalau awe amelala nikija na mm ni kulala tu.
Sasa hapa home nina mfanyakazi wa kike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.