Dah. Kweli nimeamini elimu haina wisho,Jana nimekaa na jamaa tunapiga story moja mbili aha.Jamaa akaniuliza ivi unakumbuka tulikuwa dalasa la kwanza tulikuwa tunasoma vitu mbalimbali akasema kupaa hewani tulikuwa tunasemaje nikamwambia fry akasema gud akanauliza na ndege inaitwajee?dah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.