Recent content by Jimmie Geofrey

  1. J

    Kwisha! Yanga yatolewa CAF

    Wabovu tutawaona kesho watazima zao
  2. J

    Live Updates Pambano la Yanga na Etoil Du Saheil ( Vijana wa kutoka Tunisia)

    Na kesho wanalo kwa Azam Fc tukaneni Sana mamba kabla hamjavuka MTO.
  3. J

    Mnaomuunga mkono Zitto naomba jibu la swali langu!

    Sasa hilo ni swali gani unalouliza ni kweli alisema atakuwa wa mwisho wa kuondoka chadema je ulitegemea nini baada ya kufukuzwa uwanachama wake ? Au hamu yako ulitaka abaki bila chama?
  4. J

    Wana CCM wanaoweweseka na Lowassa

    Toa hoja za msingi sio kukurupuka.
  5. J

    Wana CCM wanaoweweseka na Lowassa

    Huo ni mtazamo finyu
  6. J

    Wana CCM wanaoweweseka na Lowassa

    Lowasa the forthcoming President of Tanzania
  7. J

    Wana CCM wanaoweweseka na Lowassa

    Nijuavyo Mimi hakuna anayegombea ambaye hapendi pesa .na si lazima wote tuwe na mtazamo Wa aina moja kwa hiyo mie nadhani Lowasa ni chaguo la walio wengi.tofauti na huyo basi upinzani utapeta kiulaini km kumnyatia kiziwi
  8. J

    Tumia sehemu Kubwa ya muda wako kufanya mambo ya msingi

    Hakuna namna nyingine ya kupanua bongo zetu na ufahamu kwa ujumla kama tutakaa bila kufanya hivyo Mkuu. Thanx for a courage
  9. J

    Ziara ya Mh Pinda Mbeya, Too little and almost too late!

    Ninachofahamu kwa jinsi upepo ulivyo kwa sasa watu washabadirika na wana mitazamo chanya katika maamuzi yao so let's wait and see!
  10. J

    Tatizo la Galaxy s5 kukwama kwama, naomba msaada

    Kwa kuwa ina warrant usikae nayo hicho ni kimeo
  11. J

    Vita ya Urais sasa ni Live bila chenga: Ni kati ya Lowassa, Membe na Wassira

    Kwa kweli nashindwa kutabiri Kinyang'anyilo hicho
Back
Top Bottom