Sasa hilo ni swali gani unalouliza ni kweli alisema atakuwa wa mwisho wa kuondoka chadema je ulitegemea nini baada ya kufukuzwa uwanachama wake ? Au hamu yako ulitaka abaki bila chama?
Nijuavyo Mimi hakuna anayegombea ambaye hapendi pesa .na si lazima wote tuwe na mtazamo Wa aina moja kwa hiyo mie nadhani Lowasa ni chaguo la walio wengi.tofauti na huyo basi upinzani utapeta kiulaini km kumnyatia kiziwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.