PPM
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 838
- 230
Ninakuhakikishia mkuu Lowassa hafaiiiii kuwa rais wa inchi hii, na akifanikiwa kuwa rais basi itasomeka ameununua urais na wala siyo kachaguliwa na wanainchi
So what!! tuondolea umasaburi wako
Ninakuhakikishia mkuu Lowassa hafaiiiii kuwa rais wa inchi hii, na akifanikiwa kuwa rais basi itasomeka ameununua urais na wala siyo kachaguliwa na wanainchi
So what!! tuondolea umasaburi wako
Tuambie Lowasa aliiba nini vinginevyo kakojoe ulale its too late kwenu kumzuia Lowassa
Magazeti yaleo hasa Nipashe imebeba ujumbe wa wana CCM kwa makundi wakiomba Lowassaachukue form ya kugombea urais na wengine kumchangia kabisa sh million mbilikwa ajili ya kuchukua form hiyo.
Hakika wanaCCM hawa wanaweweseka kwani Lowassa hafai kuwa rais kwa sababu kuu 2
WanaCCMtulieni chama chenu kimewatayarishieni kiongozi wa urais ambaye ni bora kabisaambaye ataliongoza taifa hili na kulirudisha katika msingi yake waliyoiweka waasisiyani utu wa mtu ni kazi na wala siyopesa
- Mtu anayejitajirisha kwa kutumiaofisi ya uma hafai kuwa kiongozi kwa sababu siyo mfano wa kuigwa( a role model), hakuna kitu kinaitwa utajiri wa asili, hata akiuza ngombe zake zote na zawamasai wengine hawezi kununua nyumba London.
- Pili umri ule na afya ile niyakumalizia urais , siyo kuanza urais.
Nijuavyo Mimi hakuna anayegombea ambaye hapendi pesa .na si lazima wote tuwe na mtazamo Wa aina moja kwa hiyo mie nadhani Lowasa ni chaguo la walio wengi.tofauti na huyo basi upinzani utapeta kiulaini km kumnyatia kiziwi
The man is not fit to be a presdent,he lacks integrity, sorry for the fact
The man is not fit to be a presdent,he lacks integrity, sorry for the fact
Hahahahahahahaha,aliyekutuma kuja kufanya kampeni huku imekula kwake,kwa kifupi lowasa ndo rais ajaye wa tanzania,mtake msitake hayo mnayomnenea ni yenu na hao waliowatuma,lowasa ana ng'ombe wa kutosha alioachiwa na wazazi wake,lowasa amekuwa serikalini na akilipwa mshahara kwa ziadi ya miaka 30,lowasa alishakuwa waziri na kusafiri kila kona ya dunia na kipwa,je ulitaka kusema hana uwezo wa kuwa tajiri?au tajiri unamdefine vipi?kwa mimi ni mtu mwenye uwezo wa kuwasomesha watoto wake na kuwahakikishia lishe mara 3 kwa siku yaani chai ya asubuhi,chakula cha mchana na cha usiku,na kingine ni kuwa na kibanda cha kuishi,muacheni baba yetu lowasa sasa jamani mbona mnahangaika???????????????????????????????????????????????????
Tuambie Lowasa aliiba nini vinginevyo kakojoe ulale its too late kwenu kumzuia Lowassa
Tuambie Lowasa aliiba nini vinginevyo kakojoe ulale its too late kwenu kumzuia Lowassa
Najua utakurupuka na povu likutoke mdomoni kwa mitusi, mnataka kutuletea msiba wa kitaifa bire, mtu hata kunyanyua kitofali mpaka asaidiwe wee ndo unamuona anakufaa, kweli ccm mmezoea na mnapenda kuhani misiba. Wewe ambaye huongei rubish kati ya waTZ 45 umeona huyo fisadi ndio anafaa kukuongoza? Shame on youRubish ya kufunga Mwezi wa March. Hivi mtu unawezaje kuandika pumba namna hii. Kweli nchi hii imejaa matahira
Najua utakurupuka na povu likutoke mdomoni kwa mitusi, mnataka kutuletea msiba wa kitaifa bire, mtu hata kunyanyua kitofali mpaka asaidiwe wee ndo unamuona anakufaa, kweli ccm mmezoea na mnapenda kuhani misiba. Wewe ambaye huongei rubish kati ya waTZ 45 umeona huyo fisadi ndio anafaa kukuongoza? Shame on you