Watu tumwamini Yesu, haya maisha ya duniani ni ubatili Chini ya jua, unapata starehe duniani huna mda wa kuokoka, jamani Kuna maisha baada ya haya, jiulize siku ukifa utakuwa mgeni wa nani??? Yesu anabisha mlangoni kwako mfungulie siku ukifa awe mwenyeji wako, moto unatisha jamani
Hawa nao ni magumashi tu! Sio transparency, walitoaga nafasi mwaka Jana sijui ziliishiaga wapi!! Mm niliishaapa tofauti na utumishi kwingine huko Sina Imani napo kabisa!!!
Hiki kitengo wafanyakazi kudumu ni bahati Sana, maana kinahitaji umakini wa hali ya juu Sana! Wengi wanafukuzwa kazi kwa uzembe au bahati mbaya tu! One mistake unasababisha hasara ya mamililion ya fedha hivyo kuachwa salama ni vigumu mno!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.