Watu tumwamini Yesu, haya maisha ya duniani ni ubatili Chini ya jua, unapata starehe duniani huna mda wa kuokoka, jamani Kuna maisha baada ya haya, jiulize siku ukifa utakuwa mgeni wa nani??? Yesu anabisha mlangoni kwako mfungulie siku ukifa awe mwenyeji wako, moto unatisha jamani