Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 28,304
- 2,000
Utaozea mtaani mkuu, usikate tamaa we omba tuuHawa nao ni magumashi tu! Sio transparency, walitoaga nafasi mwaka Jana sijui ziliishiaga wapi!! Mm niliishaapa tofauti na utumishi kwingine huko Sina Imani napo kabisa!!!
Hizo kaka zknakukaga watu wanasombwa kimya kimya neno utumishi lielewe ndaniHawa nao ni magumashi tu! Sio transparency, walitoaga nafasi mwaka Jana sijui ziliishiaga wapi!! Mm niliishaapa tofauti na utumishi kwingine huko Sina Imani napo kabisa!!!
Nimepata taarifa kuwa Mahamaka imetoa nafasi za kazi wiki hii mwenye link tafadhali tu saidia.
Rushwa Tupu!!Hao mchakato wao wa ajira ni rushwa tupu na kujuana yaani chombo cha mahaakama alafu wanapokea rushwa katika mchakato
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us