Natamani ni mtunze mwanangu Mimi mwenyewe Kama ni mgongoni nitambeba na mbeleko nilipo awepo ila mama yake alisema nisahau kama nina mtoto naye ikaishia hapo kama ni wangu au sio wangu futilia Kule akija nitampokea asipokuja hata urithi wake utapelekwa Kwa mtumwa
CIA wanamichezo mingi xana
Wakina Polepole, Gwajima, Mpina hawa wote na wengineo usipokuwa na D mbili ya philosophy na psychology utawaona wakweli ila hawa wote goli ni moja.
Rejea
Lowasa na Mlema
Nasisi tumegundua wakitoa faini hatuwalipii maana tukichanga kuwalipia ndo inakuwa mazima hatuwaoni tena wenye mamlaka na roho za watu wanakuwa wamefanya yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.