Recent content by Jijune mfwene

  1. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

    Supu yake ipo Safi mkuu shida ni sehemu ulipo
  2. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Naona upotee Tu usijepatikana tena pumbavu kabisa wewe Huku watu wanataka mtaji laki walee familia wewe unatupigia kelele huku
  3. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dkt. Dorothy Gwajima, akulizwa kuhusu ushoga au mashoga ambao wanajitapa anakuwa anakwepa kwepa?

    Haikaliki ajumuike naye au ina wenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  4. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Ni mwanaJF gani ambaye unafikiri akipewa mamlaka kuanzia sasa anaweza kuiongoza nchi ya Tanzania?

    Mimi pekee Wadhalimu watatuachia nchi watakimbia bila kukimbizwa
  5. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yaja na operesheni “Tujenge Pamoja Tanzania ni Sisi", yazindua mchango kwa wanachama

    Wananchi wana kazi Kwa kweli maisha magumu Kodi fwaaa watoto shule Kula Kwa shida Kama vyama havina pesa tuachieni wenyewe pesa tunazo tokeni zenu huko
  6. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Bila Pesa Mwanaume ni Kivuli Tu Duniani

    Nilikuwa nasemwa Mimi kwenye hotuba hii au maana
  7. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Je, Kuoa bado ni hitaji au ni chaguo tu lisilo na lazima?

    Kwa mikono miwili tunapokea
  8. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya magari 150 Msafara wa Rais Samia

    Acha wale upepo ni wakati wao
  9. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Wanawake huchochea chuki baina ya mtoto na baba yake mzazi

    Mtoto akikua ndo anakuja kuliona jibu sahihi
  10. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Biashara ndogo zenye faida kubwa Dar Es Salaam: Jinsi ya kuanza, Kuimudu na kufika mbali – From Streets to Success

    Leta link kiongozi watu tupo live kwenye camera twende pamoja
  11. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Natamani ni mtunze mwanangu Mimi mwenyewe Kama ni mgongoni nitambeba na mbeleko nilipo awepo ila mama yake alisema nisahau kama nina mtoto naye ikaishia hapo kama ni wangu au sio wangu futilia Kule akija nitampokea asipokuja hata urithi wake utapelekwa Kwa mtumwa
  12. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole kachemka, bora angemtafuta msemaji mwingine kusema maneno yale

    CIA wanamichezo mingi xana Wakina Polepole, Gwajima, Mpina hawa wote na wengineo usipokuwa na D mbili ya philosophy na psychology utawaona wakweli ila hawa wote goli ni moja. Rejea Lowasa na Mlema
  13. Jijune mfwene

    JamiiForums Tanzania Neno 'sina' ni muhimu sana

    Unaweza pasuka ila mabingwa wapo na hawawazi
Back
Top Bottom