Habari zenyu banaaaaa.....
Kwa wajuzi wa mambo haya ya kibenki........ Nimeona tangazo la CRDB bank kuhusu makato ya VAT (18%) Katika huduma za kibenki but nimeshindwa kulielewa vizuri.
Yaani kwa mfano naenda kutoa 100,000 kwenye ATM, wao watakata 18,000 kama VAT, au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.