Recent content by Jicholamnyonge

  1. J

    Horn of Africa Relief Aid (HOARA) office zake ziko wapi hapa Tanzania?

    Kwa aliyetumiwa usipoteze bahati kwani kampuni ipo na ofisi itakuwa mwanza Ndiyo wanaanzisha nami niliomba hyo kazi na nimesha submit requirement ikiwepo Gps favran hivyo ipo tuache kupotezana
  2. J

    Wenye Jukwaa Nimeingia mnikaribishe

    Nafurahi kujiunga na forum. natumai mtanikaribisha Kwa upendo wa kijamii na sio wa kisiasa. Sote ni wamoja pamoja na kuwa na tofauti za kisiasa.
  3. J

    DC Simanjiro arejeshwa JWTZ

    ni rais wako na wafuasi wenzako wa ccm ,unadhani vita ni maziwa.
  4. J

    KIAPO CHA KUMKATAA LOWASA KAMA RASI 215 soma

    one two kuwaambie waliokutuma kazi hyo ni ngumu. Mimi binafsi nimeapa kumpigia kampeni ashinde hivyo jiandae tukutane majukwaani. Nina mashaka umetumwa na Sitta,membe. Wewe ungetafakari ulichokiandika.
  5. J

    Mwigulu Nchemba aumbuka katika jaribio la kuhonga madiwani wa CHADEMA,taarifa zanaswa mapema

    zeMarcopolo unadhani unamtaka MOD afute hyo post kwa lipi? Wewe na wengine wachache mnaetegemea kuishi kwa kupitia ccm, hiyo ndio siasa uchara kama ukubaliki bora ukae pembeni. Mwisho wenu tayari umefika.
  6. J

    Nimegahili kuoa kwa sababu ya huyu mwanamke

    kama kweli umegundua mwenyewe bila kuambiwa basi chukua maamuzi unayona wewe ni ya busara. Nakupa mfano wakati mmoja nikiwa mwanafunzi kuna rafiki wangu wa kiume alikuwa na msichana na akawa anaiba kwa jamaa mmoja . Hvyo wanawake sio watu wema ila sio wote.
  7. J

    CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

    hatimaye kijana vuvuzela kajitikeza bila haya,kumbe mlivyowauwa watanzania wenzenu kisa umeya. Mwisho wetu umetimia wewe Nape na wanafiki wenzako mmezunguka nchi kumchafua lowasa mbona umenyea kaka kuku aliyenyeshewa. Kwanza wewe ni kijana ambaye uelewi ufanyalo.nakushauri soma alama za nyakati.
  8. J

    Ushauri wa wanazuoni wa Kimasai kwa serikali ya Tanzania juu ya umegaji ardhi Loliondo

    USHAURI WA WANAZUONI WA KIMASAI KWA SERIKALI YA TANZANIA JUU YA UMEGAJI ARDHI LOLIONDO WILAYANI NGORONGORO UTANGULIZI. Tanzania ni nchi kubwa sana yenye takriban kilomita za mraba 942,832 ikilinganishwa na nchi zingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki kama vile Uganda, Kenya, Burundi na...
  9. J

    Waliounga mkono Pinda kuitwa mpumbavu waondolewe Jamii Forum

    clemence baraka wewe unakili sawa na kuku mpumbavu mkubwa,majitu mengine mkishapewa pesa mnakuja kutujaribu. Unafikiria kwa ------ sio ubongo
  10. J

    Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare apata dhamana...

    haki ya mtu haiwezi kufichwa kwa pesa leo ukweli umedhihirika mbele za mungu.Nchemba,Nape,muuaji wa tembo kinana wameumbuka .aibu na laana zitawafuata.
  11. J

    Unyanyasaji na uporaji wa ardhi Loliondo kwa kivuli cha wawekezaji

    PORI TENGEFU LA LOLIONDO Pori Tengefu la Loliondo linapatikana mashariki mwa hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Eneo hili linajumuisha vijiji vingi halali vya Tarafa ya Loliondo ambavyo vinatambulika kwa mujibu wa sheria mbali mbali tangu wakati wa ukoloni hadi sasa. Vijiji hivyo ni...
  12. J

    Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

    Having a big rear is considered sexy for the majority of man. It’s not just a sign of a healthy individual bit it also looks great in jeans. In fact, many ancient fertility statues discovered all around the world have shown to have a enormous butt. Granted that it’s probably to emphasize the...
  13. J

    Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

    Having a big rear is considered sexy for the majority of man. It’s not just a sign of a healthy individual bit it also looks great in jeans. In fact, many ancient fertility statues discovered all around the world have shown to have a enormous butt. Granted that it’s probably to emphasize the...
  14. J

    Mchungaji Msigwa, Kiti cha Spika, na Kanuni za Bunge

    zemarcopolo mara nyingi nimekuwa nikikufuatilia sana kila mara unataka kila siku wewe unataka unachofikiri kwa uelewa wako wengine wakubali bila kufikiri kama wewe
  15. J

    Karibu Prof. Mama Anna Tibaijuka ndani ya JamiiForums!

    karibu. Swali je nini hatima ya wakazi wa wilaya ya ngorongoro haswa tarafa ya loliondo ambao serikali yako imekuwa kila siku ya mungu majibu tatanishi juu ya mgogoro wa ardhi loliondo.
Back
Top Bottom