DC Simanjiro arejeshwa JWTZ

DC Simanjiro arejeshwa JWTZ

Ina maana alikuwa bado hajastaafu akateuliwa kuwa mkuu wa wilaya? Inawezekana wako Wanyarwanda na Wakongo kwenye TISS. Duh! Haya mambo yakoje? Hawawashauri wa rais wana uwezo wa kufikiri au rais mwenyewe haambiliki? Which is which?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
weka chanzo cha habari.ila kama ni kweli haitakuwa mara ya kwanza kwani hata mnadhimu mkuu wa majeshi SAMWEL NDOMBA naye alishakuwa mkuu wa mkoa na kurudishwa jeshini na kupandishwa vyeo haraka haraka.KUNA NAFASI INAACHWA WAZI ANAENDA KUZIBA

2hery kama ni mtihani umepata 100%
 
Sorce plz?

Soma Source

Mkuu wa wilaya Simanjiro Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo amerudishwa makao makuu ya Jeshi la Wananchi kuendelea na kazi yake na kuiacha nafasi hiyo ya mkuu wa Wawilaya.


Chanzo: gazeti la mwananchi la agosti 2

CC Ritz,H-D na wote CCM wenzangu.

Mimi ni mwanachama wa CCM ila Tanzania kwanza vyama baadae.

"Vox populi,Vox dei"
 
Alikuwa kapewa madaraka hayo na CCM kwa kazi maalum nafikiri atakuwa ameishaimaliza au kashindwa ndo maana karudishwa katika kazi yake ya awali.
 
Watu awasomi wataka source
"Vox populi,vox dei"
 
Maandalizi ya mwisho mwisho kulitandika lile dikteta la ukanda wa maziwa makuu ndio yanakamilika hivyo. Connect dots na hotuba ya Rais kwa Taifa leo kuhusu kauli za dikteta dhidi ya Tanzania na Rais wetu.
 
CC: Adharusi
CC: @WabishiWaLumumba
CC: @MACCM
attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Maandalizi ya mwisho mwisho kulitandika lile dikteta la ukanda wa maziwa makuu ndio yanakamilika hivyo. Connect dots na hotuba ya Rais kwa Taifa leo kuhusu kauli za dikteta dhidi ya Tanzania na Rais wetu.
ni rais wako na wafuasi wenzako wa ccm ,unadhani vita ni maziwa.
 
ivi mkuu ujui kua hao wanajeshi wenye vyeo vikubwa ni wanachama wa magamba au ni mgeni wa nchi hii.
 
Halafu mtu mwenye cheo cha Brigedia na ukuu wa wilaya wapi na wapi? Hizi njaa hakika ni majanga.

Inashangaza mkuu!

Lakini nilidhani wanajeshi wanaopewa vyeo vya kisiasa wameshastaafu! Huyu alikuwa bado?!
 
Maandalizi ya mwisho mwisho kulitandika lile dikteta la ukanda wa maziwa makuu ndio yanakamilika hivyo. Connect dots na hotuba ya Rais kwa Taifa leo kuhusu kauli za dikteta dhidi ya Tanzania na Rais wetu.

Ni ukweli kuwa huwezi kumwacha Brig. General anahangaika na uongozi wa kiraia wilayani wakati anahitajika Ngome ili kwenda kumng'oa Kagame...!
 
Mdau, ni kwamba wakati Mjeshi huyu anateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya alikuwa na cheo cha Kanali.Sasa baada ya kupandishwa ngazi kufikia cheo cha Brigedia imeonekana hastahili tena kuendelea na wadhifa wa Ukuu wa Wilaya.
Halafu mtu mwenye cheo cha Brigedia na ukuu wa wilaya wapi na wapi? Hizi njaa hakika ni majanga.
 
​natamani siku tundu lisu achaguliwe kuwa mkuu wa mkoa sijui itakuwaje, kesi ya kikatiba itafunguliwa?
 
Ni ukweli kuwa huwezi kumwacha Brig. General anahangaika na uongozi wa kiraia wilayani wakati anahitajika Ngome ili kwenda kumng'oa Kagame...!

Mbona Major Genaral Kailembo alikuwa mkuu wa mikoa kwa muda mrefu tu kabla hajastaafu jeshini? Huo ndio utawala dhalimu wa magamba ; wameingilia mpaka jeshini kama njia ya kujihami kutokana na kuondolewa madarakani!!!
 
Kwa bongo mbona hiyo ni kawaida tu , ila kwama kweli huyu mzee wa 6 week anajua maana na tafasiri ya cheo chake cha ubrigedia , hakika asingekubali taka taka ya kuwa dc kwani hivyo ni vyeo vya madogo wa buku saba/lumumba team, hivyo alibugi sana na angekuwa huku kwetu tunge mfunga jiwe la chuma shingoni na kumtumbukiza kwenye maji ya kina kirefu.
 
Gazeti la mwananchi la leo ijumaa tr 2 agost 2013,ukarasa wa saba, juu kushoto

Saaafi sana hayo maelekezo yanaitwa kibongo nyoso! Watu wanataka source, source imetajwa, ukiwaendekeza watataka picha.
 
Mkuu wa wilaya Simanjiro Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo amerudishwa makao makuu ya Jeshi la Wananchi kuendelea na kazi yake na kuiacha nafasi hiyo ya mkuu wa Wawilaya.

Maswali najiuliza..
Alipokuwa mkuu wa wilaya alikua anaingia katika vikao vya CCM kwa nafasi yake,sijui na kadi alishapewa,wanajeshi na maaskari awaruhisiwi kuwa wanachama, sasa itakuaje kwa huyu bwana katika utendaji wake?

Chanzo: gazeti la mwananchi la agosti 2

CC Ritz,H-D na wote CCM wenzangu.

Mimi ni mwanachama wa CCM ila Tanzania kwanza vyama baadae.

"Vox populi,Vox dei"

Ritz kanafasi ka ukuu wa wilaya nipe shavu boss wangu. chama nipigie debe wangu.
 
Last edited by a moderator:
ni rais wako na wafuasi wenzako wa ccm ,unadhani vita ni maziwa.

Mi nakwambia ndgu yangu watoto hawajuwi vita hawa we waaaache tu, mtu yoyote anayetokea maeneo ya mtukula hawezi shabikia vita haata kidogo, vita kimuhemuhe mwanangu.

Ikiwezekana kikombe hiki kituepuke. Hata Yesu umungu ulimtoka wakati akitamka maneno haya.
 
Back
Top Bottom