[SOLVED] Nime-update drivers na sasa hivi kila kitu ni shwari. Ninawashauri mwende na laptop zenu dukani na mjaribishe hizi modem kabla ya kununua. It's all good.
Nimetoka makao makuu ya Halotel sasa hivi. Wamethibitisha kwamba ni kweli kwa sababu nilifikiri tatizo ni kompyuta yangu.
Sent from my HTC One M9 using JamiiForums mobile app
Wakuu, chukueni tahadhari na mtu anayejitambulisha kama Mr. William Mbeya kwenye masuala ya ajira yani "job adverts". Anajifanya kama HR wa BancABC na ana-post kazi kwenye tovuti kama ZoomTanzania nk. Anatumia email hizi: williammbeya45@yahoo.com na hrbancabc@gmail.com
Mshenzi mwingine anaitwa...
Wakuu nilipitiwa kwenye kujaza mafuta ya kutosha kwenye gari langu juzi juzi nikaingia mbuga ya Mikumi usiku wakati ninaelekea Iringa. Kwa kweli hali ilitisha sana kwani nilikuja kushituka wakati nimeshazama kilomita kama 35 hivi. Bahati nzuri nilijikokota mpaka geti kuu lakini mapokezi hayakuwa...
Ni kweli Mkuu. Ninafikiri suluhisho moja ni kuweka traffic lights na barbara ya tatu unapokaribia junction kama ya Tanki Bovu kama pale Namanga unapotoka Bagamoyo Road kwenda Kimweri Avenue.
Wananchi wilayani Ulanga wamerudi mwaka 47 baada ya kivuko cha Mto Kilombero kuzama na kupoteza maisha ya watu.
JWTZ wanafanya kazi ngumu ya kuwavusha abiria kwa boti za kasi huku wavuvi wakisaidia kubeba mizigo kwa mitumbwi ya kienyeji.
Wakuu nimeambiwa itachukua mwezi mmoja kubadilisha herufi moja ya jina langu kwenye Airtel Money. Can it be? Jamaa wanatumia computer system ya aina gani? Yani nime-blo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.