Recent content by JICHO TAI

  1. J

    Hapa ndipo yanapofeli makanisa ya kiroho

    Ingawa pia sina hakika kama umefanya uchunguzi wa kina kujua kama haya maknisa ya kiroho hayatoi huduma ya kijamii. Mimi najua yanatoa sana katika level yao ya kiuchumi.Primary purpose ya makanisa ya kiroho kikwelii ni kupeleka injili hivyo bajeti kubwa sana inaelekezwa huko. Na ukifuatilia...
  2. J

    Hapa ndipo yanapofeli makanisa ya kiroho

    Unamaanisha nini kusema makanisa ya watu binafsi halafu ukayaita ya kiroho? kuna makanisa kama TAG, EAGT na mengineyo yasiyo ya watu binafsi na ni ya kiroho. Ungechora mstari kwenye hilo kwanza.
  3. J

    Watahiniwa wa CPA njia panda

    Ndo nimeshangaa nimesoma comments za watu hata ambao nahisi ni wahasibu wenye CPA hawakuweza kumsaidia mleta uzi na wachangiaji wengine kuwa huyu Prof ndo alikuwa mwenyekiti wa NBAA baada ya Prof. Assad
  4. J

    Mhe Rais, Waziri wa Fedha na Gavana wa BOT mbona kuna taasisi za Serikali zinataka malipo kwa dola hadi leo?

    mkuu wewe umesoma hiyo kozi? ulipofanya application si ulikuwa unajua kuwa wanalipa kwa dola? sasa kilio hiki kimetoka wapi? na kwa ufahamu wangu hivi vyuo huwa wana MoU ambayo inavifanya vyuo hivi kulipa fee ya ushiriki kwa dola na gharama za kuwalipa hivyo fee wanaleta ankara za malipo ya...
  5. J

    Mahiga asema Tanzania haitambui Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel, baada ya Ndugai kunukuliwa akisema anautambua

    Kama jambo lenyewe linavyoigawa dunia hata kwa watu pia yatatoka maoni tofauti hivyo Mahiga na Ndugai wote wapo sawa. Ila muyaonapo mambo hayo yanatokea wale wenye tumaini katika Kristo Yesu changamke maana mwisho wa karibia
  6. J

    WanaCCM tusikubali kuchezewa akili na DC Mnyeti; Press conference yake izuiliwe na vyombo vya usalama

    Dah jamaa wewe umenifanya nicheke mwenyewe humu ofisini
  7. J

    Je, Lissu anajijenga ili kugombea Urais 2020?

    Mtume kwa kitabu cha dhehebu lipi? Yesu siyo mtume after all
  8. J

    Unataka awe boss wako ama wewe uwe boss wake

    nilimpa utaratibu mzuri wa jinsi wa kupata haki yake ingawa hakuridhika nayo tulienda hivyo hivyo. Fani yetu ya uhasibu ina maneno wewe acha tu
  9. J

    Unataka awe boss wako ama wewe uwe boss wake

    nami nili consider hicho. wanadamu hata kama ni haki yake watasema nampendelea mke wangu.
  10. J

    Unataka awe boss wako ama wewe uwe boss wake

    watu wana wivu wewe acha tu. nilifanya hivyo kupunguza maneno
  11. J

    Unataka awe boss wako ama wewe uwe boss wake

    haikuwa dhuluma mkuu nilimpa utaratibu ambao nilimruhusu kwenda kwa boss moja kwa moja. Maofisini huku kuna maneno wewe acha tu
  12. J

    Unataka awe boss wako ama wewe uwe boss wake

    Inawezekana kabisa mkuu. Nimekuwa boss wa mke wangu kwa seven years kabla ya yy kuhamia sehemu nyingine. Changamoto iliyokuwepo ni kwamba mm ndo napitisha payment kabla hazijaenda kwa boss wangu for those seven years sikuwahi mpitishia malipo wakati wengine nilikuwa nawapitishia hapo ndo kidogo...
  13. J

    Ndege mpya ya Askofu Gwajima aina ya Gulfstream N60983 (Business jet)

    its fine mkuu maadam haijulikani ni kwa utukufu wa nani ni vizuri kukaa kimya na kusubiria yatakayotokea
  14. J

    Ndege mpya ya Askofu Gwajima aina ya Gulfstream N60983 (Business jet)

    basi sorry labda nikuulize ni kwa nini sasa asiwe na ndege mtu aliyekuwa na helcopter?
Back
Top Bottom