Ngozi Joram
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 659
- 543
Mtajikuna mpaka kwenye ulimi safari hii. Mara mropokaji, mara msaliti, ooh 10%, leo mara raisi. Na huyo ni Lissu tu, sijui mikutano ingekuwepo ingekuwaje!!!!!????Hii ni kama strategy ya ukawa kujenga mgombea wake kwa mwaka 2020, baada ya kuone appointment ya Katibu mkuu kukosa mwito ndani na nje ya muunganiko huo.
Kauli na matendo ya Lisu yanaonyesha muelekeo wa kujijenga kisiasa kwa lengo la kugombea nafasi hiyo.
Ikumbukwe kwamba bado kuna pingamizi za ndani kwa ndani ukawa kama Lowasa atasimama kwa tiketi hiyo ifikapo uchaguzi mkuu, hii ni kutokana na yeye kuzidi kupungua ushawisi ukilinganisha na kipindi cha uchaguzi wa 2020.
Saikolojia ya mwanadamu unaonyesha kwamba mtu anayekipinga kitu flani sana either anakipenda sana au anahisi kama aliyenacho hastahili kuwa nacho isipokua yeye.
Saikolojia hii ndogo inapelekea wengi wetu kuanza kunyanyua kope za macho na kujiuliza nia halisi ya Lisu baada ya kuona na kusikia haya aliyoyafanya hivi karibuni.
Je, huu ndio mwanzo wa safari ya kugombea nafasi hiyo 2020, na mwendelezo wa matukio toka kwa mwanasiasa huyo?
Mbona vitu vya chooni?
Au ndo picha halisi?
"The Government will never fail but an individual "
Wakuu , naomba nitakaowakwaza mnisamehe .
Kwanza naomba nikiri kwamba mimi si mjuzi sana wa maandiko matakatifu , lakini nilifuatilia baadhi ya Mateso waliyoyapata mitume wa Mungu , akiwemo Yesu Kristo wa Nazaret .
Pamoja na Bwana Yesu kuletwa duniani kama mkombozi na habari zake kutangazwa kwa jamii lakini bado watawala wa wakati ule walimnyanyasa na kumtesa sana ! ( kila mmoja wetu anajua visa alivyokumbana navyo yesu ).
Sasa nikimuangalia kwa jicho la 3 Mh Lissu naanza kupata HOFU YA MUNGU ILIYOJAA MATUMAINI kwamba huenda huyu pia ni MTUME WA MUNGU , Mambo mazito ya kweli anayoyasema na kuwafumbua wananchi yanasisimua mno ! Hata hivyo pamoja na uzalendo wote alionao bado watawala wamepofushwa na kuendelea kumkamata mithili ya wahalifu wengine !
Je hii ni kutimia kwa utukufu wa Mungu ?
Matusi hayajawahi kuwa na kinga yoyote .Ndo pa kuzaa naye hapo ili mpate Watoto Mitume pia, kama bado hauajafikia meno pause, who knows?
Bavicha mnakufuru Sasa. Yaani huyo msema ovyo awe mtu sawa Na Mohammed au Yesu?Wakuu , naomba nitakaowakwaza mnisamehe .
Kwanza naomba nikiri kwamba mimi si mjuzi sana wa maandiko matakatifu , lakini nilifuatilia baadhi ya Mateso waliyoyapata mitume wa Mungu , akiwemo Yesu Kristo wa Nazaret .
Pamoja na Bwana Yesu kuletwa duniani kama mkombozi na habari zake kutangazwa kwa jamii lakini bado watawala wa wakati ule walimnyanyasa na kumtesa sana ! ( kila mmoja wetu anajua visa alivyokumbana navyo yesu ).
Sasa nikimuangalia kwa jicho la 3 Mh Lissu naanza kupata HOFU YA MUNGU ILIYOJAA MATUMAINI kwamba huenda huyu pia ni MTUME WA MUNGU , Mambo mazito ya kweli anayoyasema na kuwafumbua wananchi yanasisimua mno ! Hata hivyo pamoja na uzalendo wote alionao bado watawala wamepofushwa na kuendelea kumkamata mithili ya wahalifu wengine !
Je hii ni kutimia kwa utukufu wa Mungu ?
Mapovu !Mtume wa wachagga
Mimi ni mtu mzima na nina akili timamu .Unadhani ninani atampa kura mtu kama Lissu??? Mwenye hakili timamu hawezi kumpigia kura.. Uongozi ni hekima, busara, nidham pia. Ajifuze kitu kupitia Lowassa, na mbowe.. Hawa ni wastarabu hawana siasa za hovyo. Niwapinzani wa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani ninani atampa kura mtu kama Lissu??? Mwenye hakili timamu hawezi kumpigia kura.. Uongozi ni hekima, busara, nidham pia. Ajifuze kitu kupitia Lowassa, na mbowe.. Hawa ni wastarabu hawana siasa za hovyo. Niwapinzani wa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app