wafichua Siri za aibu za serikali na viongozi huwa wanawindwa na kuandamwa kama LISU
badala ya kupongezwa na kupewa zawadi wanamiminiwa risasi
kwani zinakuja na yule mgonjwa wetu aliyepo India!?
isipokuwa ununuzi wa wabunge na madiwani? ni bora TU angewaelekeza mapolisi wafanye hayo maombi maana ndiyo washiriki wake wakuu!! siyo maaskofu ambao wameshatimiza wajibu wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.