Recent content by Jicho Letu

  1. J

    Ndugu zangu, Maadui wa Magufuli ni wananchi wenyewe!

    Mechi ya Mpira wa miguu huwa ni dakika 90. Ukipata goli dk ya 3 ya unashangilia kwa nguvu zote ili kuwapa hamasa wachezaji na ikiwa ni dalili njema na ushindi baada ya 90. Sasa nakusihi na wewe kama mtanzania unayependa maendeleo basi anza kushangilia Sasa. Najua wana ukawa wengi mlikuwa mkiimba...
  2. J

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kwakuwa kumeonekana kuwapo na utamaduni wa mtu kuwa waziri mkuu na baadaye kusimama majukwaani na kusema serikali haijafanya kitu,sasa namshauri Mh.Rais kupeleka hoja bungeni ya kufuta stahiki zote za waziri au Maziri mkuu ikititokea akawajibishwa na bunge kwa uzembe au utendaji mbovu...
  3. J

    Naanza kunusa kitu cha Moto ACT Wazalendo

    Imeandikwa wapi kuwa watu wakiamua mwenyezi mungu ndio kaamus? Acha kumchanganya mungu na hisia za kibanaadamu, Mungu haamui mambo yake kwa kutegemea maamuzi ya binaadamu.
  4. J

    Kifo cha Filikunjombe, Lowassa alia

    Hii inaonyesha ni kwa jinsi gani hujitambui na Hujui thanani ya baba pole sana na Mungu akusamehe.
  5. J

    Hii ni aibu kubwa kwa taifa letu

    Yeah ccm na watu wake wamechangia sana sisi kufika hapa, ccm ambayo watu ni kama mwapachu, sumaye, mkapa, kikwete, lowassa, kingunge na wengine wengi. Ajabu ya watanzania Leo hii wanawaona watu wengine ni tunu baada ya kuchefuata. Kama tuhitaji taswira mpya ya Tanzania basi ACT ndio chama...
  6. J

    Mohamed Said: Zanzibar ni nchi ya Kiislamu, Bara Kikristo

    Kama ni mwanahistoria na anaijua vyema basi na atupe historia ya waanzilisha wa vuvugu la uhuru wa tanganyika, nini chanzo cha Mwl. Nyerere kuacha kuvaa kabtula?
  7. J

    Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

    Mmmh....kweli kama tunapima uadilifu basi na tuongelee mmiliki wa majengo pacha ya "Richmond tower "yaliopo mjini Dar es salaam
  8. J

    CCM Wanusa harufu ya kushindwa uchaguzi

    Mkuu ipitie tena habar yako kisha uiwasilishe upya maana inaonekana umeendeshwa name mahaba bila busara.
  9. J

    Magufuli,Ubabe katika shughuli za Serikali umepitwa na wakati!

    Nadhani mtoa mada hakujua kama mada hii itambeba JPM. Nadhani sasa atakuwa amejifunza
  10. J

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Jamani kwenye makosa tukosoe, Gwajima na Mh. Lowassa wamekosea sana kwa matamshi yao hao au tuseme walipitiwa tu. Lakini nivyema sisi wapiga kura tukalikemea hili kwa nguvu zote maana sio jema. Tutakao wapa kura UKAWA tuwape lakini tuwaseme wanapojikwaa ni hii itawasaidia wasijikwae tena...
  11. J

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Napata kikwazo kidogo kuamini kwamba ccm ni copy and paste maana wao ndio walikwambia wa kwanza kutangaza mgombea Urais then UKAWA wakafuata, ccm ndio walikuwa wa kwanza kuzindua kampeni then ukawa . Sasa ukisema ccm wanacopy huwenda ukawa umepota please think twice.
  12. J

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Sema wewe ndio umejiapiza usisemee nafsi za watu wengine .Tanzania kuna wafuasi wa CAT,CCM na vyama vingine vyenye nguvu na vyote vinawafuasi sasa waliojiapiza ni wapi? Please be scientific usiendeshwe na mihemumko Y kisiasa.
  13. J

    Njombe: Mgombea wa CCM atishia kujitoa, ni baada ya kutelekezwa na chama

    Ccm ni walewale...EL ni ccm tu maana ndiko aliko lelewa. ACT haina uchafu wa ccm...watanzania tuamke
Back
Top Bottom