Amemsisitizia kuwa aache kwani akirudia atamlazimisha awalipue na wale waliomtuma kitu ambacho sio kizuri kwani kitasababisha nchi itikisike na macho yao yatoke moshi wasiamini na kuona pakujishika.
Askofu Gwajima aliwaomba watu wa CCM waliohudhuria ibada yake wampelekee ujumbe huu kumtaka asirudie tena na wao wanaomtuma waache mara moja kwa faida yao kwani wakiendelea watamlazimisha awajibu kwenye madhabahu ya Yehova kitu ambacho sio kizuri kwani kitawasababishia matatizo wao na chama chao.
unaweza kumsikiliza hapa
https://soundcloud.com/peresi-793558715/askofu-gwajima-amuonya-abdalah-bulembo-na-ccm
View attachment 294616
Askofu Gwajima aliwaomba watu wa CCM waliohudhuria ibada yake wampelekee ujumbe huu kumtaka asirudie tena na wao wanaomtuma waache mara moja kwa faida yao kwani wakiendelea watamlazimisha awajibu kwenye madhabahu ya Yehova kitu ambacho sio kizuri kwani kitawasababishia matatizo wao na chama chao.
unaweza kumsikiliza hapa
https://soundcloud.com/peresi-793558715/askofu-gwajima-amuonya-abdalah-bulembo-na-ccm
View attachment 294616