Tatizo sio toto card wala kuanzisha uchangiaji mpya ili mfuko wa Bima uweze kujiendesha...Kiini cha Tatizo la nchi hii ni siasa, tulipofikia ufisadi na ufujaji wa pesa za umma upo kila sekta, mfano leo tutakuja na bandari kesho ufisadi SGR,kesho kutwa riport ya CAG miaka inakimbia na kwa bahati...
Hii nchi kwa maneno matupu na makaratasi sisiemu haiwez kung'oka the only way is hard way mpaka kenge atokwe damu sikion ndipo atajua tupo sirious,ni upumbavu kutueleza kuleta katiba mpya hadi wananchi wapewe Elimu,wkt ule wanatuletea katiba ya samwel sitta wapi walitupa elimu?? Mambo...
Kenge huwa hasikii hadi atokwe damu sikioni haya makelele ni chura kwa ccm,inahitajika kupitia njia ngumu baadae vizazi vinehemeke aman imetupumbaza,hatuwezi taka pepo huku tunaogopa kufa.
Hili shairi sina shaka umepewa nakala na kheri James,shairi aliokuwa akiwaimbia wasukuma waliosimama juani wakisubiri wale pilau,kisha jioni ifike wabebwe na mabasi ya msukuma coach warejee vijijini taratiiibu,kabla Bw. james hajateuliwa uenyekiti kamati ya ulinzi pale wilayani.
Kudumu kwenye ndoa haina uhusiano moja kwa moja na umri sahihi wa kuwa mwanandoa,cha msingi uwe umekomaa kifikra na kuwa na uwezo wa kuzikabili changamoto, japo sikatai pia ukiingia ndoani mkiwa vijana sana pasipo kumaliza kiu ya tamaa za ujana za kujaribu kila kitu, inaweza athiri ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.