Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Nadhani huu ndio Mshangao wa kwanza kwangu tangu mwaka huu uanze , na hasa kama mlalamikaji ni Bananga .
Bananga ni Mwanaccm ambaye ameishi na kukulia kwenye mazingira ya ccm , chama ambacho RUSHWA NDIO NGUZO MUHIMU YA CHAMA , leo anashangaaje rushwa kutumika kwenye chaguzi za ccm ? ambacho hakijafahamika ni kama Yeye mwenyewe alikuwa mgombea au alikuwa Chawa wa Mgombea Mwingine .
Ama kweli kua uyaone .
Bananga ni Mwanaccm ambaye ameishi na kukulia kwenye mazingira ya ccm , chama ambacho RUSHWA NDIO NGUZO MUHIMU YA CHAMA , leo anashangaaje rushwa kutumika kwenye chaguzi za ccm ? ambacho hakijafahamika ni kama Yeye mwenyewe alikuwa mgombea au alikuwa Chawa wa Mgombea Mwingine .
Ama kweli kua uyaone .