Recent content by JHT

  1. JHT

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Chadema hapo wanataka kutumia umaarufu wa el kushinda uchaguzi lkn el akienda cdm hatakubali kuwa mwanachama wa kawaida
  2. JHT

    Magufuli atavumilia maandamano ya raia?

    Tunamtaka nyapara coz watanzania siku hz tumekuwa na kuherehere tupelekeshwe nchi iendee
  3. JHT

    Jina la Lowassa kurudishwa tena?

    Dah siamini kama laigwanan amekatwa
  4. JHT

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    MBona tunadanyana hapa na information za uongo kumbe bado hata mkutano hujafanyika
  5. JHT

    Kamati Kuu CCM inakutana asubuhi ya leo, punguzeni presha

    Hahahahaha kbs mkuu, ndio hicho tunataka kujua ANAKATWA AU HAKATWI
  6. JHT

    Updates: Mdahalo wa Wagombea Urais CCM - Julai 05, 2015 via Star TV

    Naona mwigulu ameanza kumwaga mapoint
  7. JHT

    Viwanja bei cheee ndani ya mji wa Mafinga

    Nakutafuta mkuu
  8. JHT

    Imedhihirisha mgombea Urais CCM ni Prof . Mwandosya

    Hamna kitu EDWARD LOWASA ATAPEPERUSHA FLAG
  9. JHT

    Lowassa atua Mwanza kusaka wadhamini, umati wampokea

    UKo gizani mtoa mada lowasa ndio alianzia mwanza then Zanzibar
  10. JHT

    Bila mabadiliko ya Kanuni, nafasi ya Lowassa na Membe inazidi kuwa finyu

    Tunashukuru kwa umakini wako wa kuchambua hoja, but mbona nilisikia utaratibu umebadilika kwamba majina.yote yataanzwa kupelekwa nec wachague watu wa5 kama walivyofanya kwa kikwete hawakuanza kwenye cc coz chanzo cha ndani wanadai jakaya alikuwa hakubaliki kwenye cc baraza la ushauri...
  11. JHT

    Lowassa, Nchi ilipokuwa njiapanda kwanini ulikaa kimya?

    Why lowasa lowasa lowasa always, kwan ameshapitishwa na chama, kwan ni yeye tuu alikaa kimya bungeni kati ya hao wanaogombea urais? Tulizeni ball
  12. JHT

    GE2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

    Unajua nashangaa kusoma comments za hovyo za wale wanaomponda mtia nia wa urais Cha msingi kama wasomi na wadau wa siasi tusikilize, tupime, tuchambue hoja zao na vipaumbele zina mashiko? Tanzania ilipofika inapumulia mashine, chama tawala kimechoka, viongozi wake wamecost hili taifa sana...
  13. JHT

    Lowassa mizunguko ya kutafuta wadhani, Kampeni amewekeza na Afya yake

    Unajua nashangaa kusoma comments za hovyo za wale wanaomponda mtia nia wa urais Cha msingi kama wasomi na wadau wa siasi tusikilize, tupime, tuchambue hoja zao na vipaumbele zina mashiko? Tanzania ilipofika inapumulia mashine, chama tawala kimechoka, viongozi wake wamecost hili taifa...
Back
Top Bottom