Recent content by Jgandi

  1. Jgandi

    Ushawahi?

    Hiyo hutokea sana mm nakaaga karib na mlango wa kuelekea chumban kwang nkiona sex scene taratiiibu najisepea!
  2. Jgandi

    Mtoto wa kwanza katika mji toka 1987

    Wanahitaj soup ya pweza pengine wanaume mambo yao hayako vizur
  3. Jgandi

    Tafakuri ya maisha: Ungefanya nini ikiwa umetambua bado miezi sita kuishi?

    Nitafanya vitu vizur nitatoa misaada kwa watoto yatima na wasiojiweza ili niache historia nzur na niwe mfano then sku ya kufa ntakaa tu ndan na kufungulia muzik huku nikiwa tayar kujionea na ku experience jinsi ya kufa
  4. Jgandi

    Nini kimemtokea Tundu Lissu kwa kubadili jina la Dikteta Uchwara na sasa anaita Mtukufu Rais?

    Tutasema mengi ila lisu ni kichwa na magufuli pamoja na utumbuaji wake hawez kumtumbua lisu,
  5. Jgandi

    KENYA: Koffi Olomide ampiga mateke mnenguaji wa kike baada ya kutua jijini Nairobi

    Mm naona n kawaida tu au kwa kuwa aliyempiga ni staa ndio maana stor inakuzwa, jamaa alikuwa anajalibu kuonyesha hisia zake kama binadamu mwingine hapo sjaona cha ajabu
  6. Jgandi

    Wanafunzi wote walio Vyuo Vikuu wasio na sifa kuondolewa. Vyuo kurudisha fedha za wanafunzi hewa

    Ningepata nafasi ya kutoa maoni kwa wazir wa elimu ningemuomba kwa walio chuon tayar wawaache na waweke mfumo sasa ambao utadhibit wanafunzi wengine wasio na vigezo kuingia chuon, mi naona wanafunzi wasio na vigezo na wako chuon sio kosa lao ni kosa la waliokubali maombi yao ya kujiunga na chuo...
  7. Jgandi

    Tamko la Mkurugenzi wa TCAA Hamza Johari kuhusu waunda ndege wazawa ni la hovyo

    Anatubania sisi wabunifu nlikuwa nimeshaanza kutengeneza meli itakayotumia barabara sasa kwa tamko hilo naona nfanye kitu kingine
  8. Jgandi

    Naomba msaada kuhusu kufungua akaunti ya bank

    Jf ni nzur nimeipenda
Back
Top Bottom