Recent content by jfr

  1. J

    Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

    Matusi ya nini? Wanaomfunza adabu wapo kwenye kitengo Chao Wala hawahusiki na Mambo mengine unayosema kuwa ya msingi. Na hayo yanaendelea kufanyika wakati huyu akifunzwa adabu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. J

    Baada ya kufiwa na ndugu yangu ndiyo nimegundua Tanzania tunachemka

    Wafanyakazi wenzake wanajua. Si lazima waambiwe na mtu Toka Shinyanga Sent using Jamii Forums mobile app
  3. J

    Majibu ya Serikali kwa aliyedhulumiwa ng'ombe yana ukakasi mwingi sana!

    Kukazia hukumu Ni kufanyaje ili spare haki yake? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    Majibu ya Serikali kwa aliyedhulumiwa ng'ombe yana ukakasi mwingi sana!

    Ni maelekezo Toka juu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. J

    Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

    Kuna kitu kilimuudhi. Kama hiyo koraan ilikuwa ofisini, je ni mahali pake? Siku hizi ukienda maofisini unakuta watendaji wameweka biblia au koraan mezani.Zinasaidia nini? Pengine huyu alihitaji msaada Fulani kikazi, alafu badala ya kujibiwa huyu officer anakalia kusoma koraan. Ungekuwa wewe...
  6. J

    Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

    Kwanini usitaje jina la shule na mkoa ili wasaidiwe?Labda hiyo picha ni ya Msumbiji au uzushi tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. J

    Kangi Lugola unakumbuka ulivyomdhalilisha Kamishna wa Magereza aliyechelewa kikao chako?

    Uzuri ile ni mifuko ataenda kuzibandua hizo bendera. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. J

    Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

    Alafu alikuwa waziri pekee aliyekuwa analala na ilani ya CCM, akienda chooni anayo. Na alishona mashati yenye mifuko ya bendera ya taifa. Kumbe anaenda kusaini mikataba ya ovyo.... Sent using Jamii Forums mobile app
  9. J

    Kwanini walinzi wa viongozi huvaa earphone ?

    Maelezo yako kama yako sawa, ila kiswahili chenu kinafanya MTU asifuatilie maelezo yako. Mf kazi mahalumu , mahali halipo rais nk Sent using Jamii Forums mobile app
  10. J

    Rais Magufuli, ni wakati muafaka "Ikulu" irudishwe kwa wenyewe, Waislam

    Peleka kesi kwenye mahakama za Canada mtatendewa haki. ..rejea kukamatwa kwa ndege.
  11. J

    Kagera: Mwanafunzi wa kidato cha nne afariki kwa kukosa hewa akiwa kajifungia na jiko la mkaa ndani

    Mpaka umejua hayo maneno ya kiingereza bado unaomba kufahamishwa kuhusu jiko la mkaa? Hilo ndo limekuponza.
  12. J

    Kauli ya Mzee Mkapa kuhusu CCM kujiona kama chama kimoja inahitaji kutafakari nini hasa msingi wake?

    Tunahitaji kutafakari upya viashiria vya ubaguzi. Wakati wa chama kimoja tuliamini kuwa tunaweza kubaguana kwa rangi,kabila,dini, nk.Sasa hivi siasa ya vyama vingi imeongeza wigo wa ubaguzi. Kama sasa tumeanza kubaguana wale wa CCM na wapinzani. Kama uongozi hautakuwa makini, tutaumizana ndugu...
  13. J

    Tujikumbushe kauli za viongozi wetu

    Msiwachague wala lushwa, msiwachague wa-la-lu-shwa ---jpm Ulienda Marekani kusomea upumbavu?---jpm Nitahakikisha kufikia 2020 hakuna vyama vya upinzani---jpm
  14. J

    Wiki ya Utumishi wa Umma, 7-7, 8-8, Wiki ya kunywa maziwa n.k. Zina tija gani Serikalini?

    Nakuelewa, ila unapendaga haya mambo ya kuchanganya lugha. Huwa wala hujishughulishi na kutafsiri maneno kwa Kiswahili. Labda ndio usomi wenyewe.
  15. J

    Majambazi wakamatwa Sinza wakijiandaa kufanya uporaji

    Hata kama fedha zikae huko vipi, kuna wakati utalazimika kuwa nazo mkononi. Mfano kwenda kuwalipa mafundi na vibarua nk
Back
Top Bottom