Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,472
- 8,581
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Mwemage, Bukoba Mkoani Kagera Paficitus Tumwesige amefariki baada ya kukosa hewa kutokana na kufunga milango huku akiwa amewasha jiko la mkaa ndani ya nyumba aliyokuwa amelala, amefariki akiwa amebakiza Mtihani mmoja tu.
RIP
RIP