Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,447
- 16,303
#VIDEO Inadaiwa tukio la jaribio la ujambazi limetokea asubuhi hii ya Septemba 4,2019 maeneo ya Sinza Mori karibu na kituo cha mafuta cha Big Bon.
Inasemekana hawa majambazi walitaka kumpora huyu mama aliyetoka NMB kuchukua pesa wakawahiwa na raia wema na polisi waliokuwa eneo hilo.
Inasemekana hawa majambazi walitaka kumpora huyu mama aliyetoka NMB kuchukua pesa wakawahiwa na raia wema na polisi waliokuwa eneo hilo.