Tujikumbushe kauli za viongozi wetu

Tujikumbushe kauli za viongozi wetu

"jamaa ni mshamba sana'' na Nape

"kujimwambafai" na JK

"not to that extent..'' na jpm

"hakuna kuweka mpira kwapani.." na Jafo

"..hakuna kukimbiana hapa.." waziri Jafo

"..tuna raisi wa ajabu kweli kweli.." na Lisu

"watanzania tembeeni kifua mbere tuko kwenye light truck.." na JPM
Msiwachague wala lushwa, msiwachague wa-la-lu-shwa ---jpm

Ulienda Marekani kusomea upumbavu?---jpm

Nitahakikisha kufikia 2020 hakuna vyama vya upinzani---jpm
 
Back
Top Bottom