Recent content by JF- KYOMA

  1. JF- KYOMA

    Makonda, tulikuambia ngoma ya watoto haikeshi hukusikia

    Hata mimi nataka ashindwe na ninamchukia sana huyo jamaa
  2. JF- KYOMA

    Dawa za Kulevya: Yusufu Manji afikishwa Mahakamani Kisutu, aachiwa kwa dhamana

    Huyo mwehu unaweka mambo gani au mwehu nini
  3. JF- KYOMA

    Makonda: Sintokwenda mbele ya Kamati ya Bunge kuhojiwa bila kuitwa kwa barua

    Makonda wewe utanyooka tuu, ila nenda ukahojiwe kwanza nina machungu mzee wetu Jaji Warioba mlimpiga
  4. JF- KYOMA

    Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    Makonda ana cv aliwahi kumpiga Jaji Warioba akazawadiwa ukuu wa wilaya na akamchongea mkurugenzi wa jiji akapata ukuu wa mkoa sasa nafasi ipi ngoja tuone
  5. JF- KYOMA

    Spika Ndugai: Kama kuna ofisa anamuhitaji mbunge aniambie, hatuwezi kwenda kibabe

    Spika kaoneshs kusimamia kiti chake vizuri
  6. JF- KYOMA

    Wakati akihitajika Leo Polisi, Mbowe aonekana Dodoma na Mabalozi wa Ulaya

    Inaonesha ni jinsi gani alivyo na mambo mengi ya kufanya na hana muda mchafu wa kupoteza
  7. JF- KYOMA

    Wabunge wa upinzani wamezidiwa ujanja na wabunge wa CCM sana bila kutambua

    Kwani suala la kudharau bunge linawagusa wote kwahiyo ulitaka wapinge? Wewe kwakuwa umewadharau wapinzani rudini CCM
  8. JF- KYOMA

    Kwa kashfa hizi za kuhusishwa na biashara ya mihadarati, Freeman Mbowe jiuzulu Uenyekiti CHADEMA

    Wewe hauna akili timamu ukapimwe utakuwa na mapungufu kama ndugu yako mlopokaji
  9. JF- KYOMA

    KISUTU: Tundu Lissu afikishwa Mahakamani, apata dhamana

    Hongera kamanda Lisu tuko pamoja
  10. JF- KYOMA

    Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

    Safi sana kamanda Lowassa uko vizuri
  11. JF- KYOMA

    PICHA: Harakati za CHADEMA huko Karagwe, Kagera

    Safi sana kamanda
Back
Top Bottom