Wabunge wa upinzani wamezidiwa ujanja na wabunge wa CCM sana bila kutambua

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,467
Bunge linaendelea,wabunge wa upinzani ambao ndio upande wangu wamezidiwa ujanja na CCM kabisa safari hii.yaani nimewadharau sana kwa kutoweza kulijua hili.

Hivi ni lini CCM waliungana na wapinzani pale bungeni katika kuamua jambo kwa pamoja? Eti safari hii wameazimia kwa pamoja hoja ya waitara kwamba Paul Makonda na Dc wa Arumeru waitwe kwenye kamati ya maadili ya bunge kwa kulidharau bunge.

Hivi nyie wabunge wetu hamjaweza kujitafakari kwa kina kwamba ni kwa nini ccm wakubaliane 100% na nyie?

Juzi Mh.Zito Kabwe si alitoa hoja binafsi kwamba bunge lijadili kwa nini wabunge wakamatwe hovyo wakiwa eneo la bunge? Je hao ccm walitoa ushirikiano?

Bunge live hakuna,wapinzani mlipaza sauti sana,je hao ccm walitoa ushirikiano?

Hakuna mikutano ya vyama vya siasa,mmelalamika sana je hao ccm walitoa ushirikiano?

Ni mambo mengi yenye tija kwa taifa huwa mnayapigania sana hadi wakati mwingine mnasusa na kutoka ndani ya bunge,lakini hao wabunge wa CCM hawajawahi kuwapa support. Iweje kwa hili wawe upande wenu?

Tena hili halina hata tija yoyote kitaifa.Hivi hili lina maana kuliko la katiba mpya? Mbona hawakuwasupport?

Yaani mmeshindwa kuelewa kwamba nyie mmefanywa kama daraja hapo? Daah,kweli akili ni nywele kila mmoja ana zake.
 
Mkuu acha tu naona mafuta ya taa ya safari hii imewatoa nyoka wengi na kuwaweka pamoja,

inaonekana kwenye shimo la "Mihadarati" kuna nyoka wengi ila wanatofautiana ukubwa na sumu tu lakini ni wale wale wanaosinzia na kulala pale jumba zuri lenye viti vya rangi nyekundu kunako makao makuu ya Tanganyika.

Kupitia wawakilishi tunauona "Upumbavu" tulionao kwa kuchagua aina hii ya wawakilishi.

Asante Makonda tumeona "Upumbavu" wetu kupitia wawakilishi tuliowachagua.
 
Ndiyo tatizo lenu la mapungufu ya elimu. Kumbe uelewa wenu wa Bunge ni uhasama?

Usijitie ujinga unaweza kuanza kuelimika ukajonufaisha
Ina maana huo unaouita "Uhasama" haupo kwenye jambo la madawa tu..?
Lakini mambo mengine ya nchi sawa kama Escrow, Bunge Live, wabunge kukamatwa hakuna uhasama..?
 
Bunge linaendelea,wabunge wa upinzani ambao ndio upande wangu wamezidiwa ujanja na CCM kabisa safari hii.yaani nimewadharau sana kwa kutoweza kulijua hili.

Hivi ni lini CCM waliungana na wapinzani pale bungeni katika kuamua jambo kwa pamoja? Eti safari hii wameazimia kwa pamoja hoja ya waitara kwamba Paul Makonda na Dc wa Arumeru waitwe kwenye kamati ya maadili ya bunge kwa kulidharau bunge.

Hivi nyie wabunge wetu hamjaweza kujitafakari kwa kina kwamba ni kwa nini ccm wakubaliane 100% na nyie?

Juzi Mh.Zito Kabwe si alitoa hoja binafsi kwamba bunge lijadili kwa nini wabunge wakamatwe hovyo wakiwa eneo la bunge? Je hao ccm walitoa ushirikiano?

Bunge live hakuna,wapinzani mlipaza sauti sana,je hao ccm walitoa ushirikiano?

Hakuna mikutano ya vyama vya siasa,mmelalamika sana je hao ccm walitoa ushirikiano?

Ni mambo mengi yenye tija kwa taifa huwa mnayapigania sana hadi wakati mwingine mnasusa na kutoka ndani ya bunge,lakini hao wabunge wa CCM hawajawahi kuwapa support. Iweje kwa hili wawe upande wenu?

Tena hili halina hata tija yoyote kitaifa.Hivi hili lina maana kuliko la katiba mpya? Mbona hawakuwasupport?

Yaani mmeshindwa kuelewa kwamba nyie mmefanywa kama daraja hapo? Daah,kweli akili ni nywele kila mmoja ana zake.
Kwahiyo wewe unataka kila siku wawe wanatofautiana?
 
Bunge linaendelea,wabunge wa upinzani ambao ndio upande wangu wamezidiwa ujanja na CCM kabisa safari hii.yaani nimewadharau sana kwa kutoweza kulijua hili.

Hivi ni lini CCM waliungana na wapinzani pale bungeni katika kuamua jambo kwa pamoja? Eti safari hii wameazimia kwa pamoja hoja ya waitara kwamba Paul Makonda na Dc wa Arumeru waitwe kwenye kamati ya maadili ya bunge kwa kulidharau bunge.

Hivi nyie wabunge wetu hamjaweza kujitafakari kwa kina kwamba ni kwa nini ccm wakubaliane 100% na nyie?

Juzi Mh.Zito Kabwe si alitoa hoja binafsi kwamba bunge lijadili kwa nini wabunge wakamatwe hovyo wakiwa eneo la bunge? Je hao ccm walitoa ushirikiano?

Bunge live hakuna,wapinzani mlipaza sauti sana,je hao ccm walitoa ushirikiano?

Hakuna mikutano ya vyama vya siasa,mmelalamika sana je hao ccm walitoa ushirikiano?

Ni mambo mengi yenye tija kwa taifa huwa mnayapigania sana hadi wakati mwingine mnasusa na kutoka ndani ya bunge,lakini hao wabunge wa CCM hawajawahi kuwapa support. Iweje kwa hili wawe upande wenu?

Tena hili halina hata tija yoyote kitaifa.Hivi hili lina maana kuliko la katiba mpya? Mbona hawakuwasupport?

Yaani mmeshindwa kuelewa kwamba nyie mmefanywa kama daraja hapo? Daah,kweli akili ni nywele kila mmoja ana zake.
Inaonekana huna rekodi ya mambo!! Nkukumbusha tu Philemon luhanjo aliekua katibu kiongoz maazimio ya kumtoa yaliptishwa wap? Ishu ya Richmond mpk wakafkia maamuz ya kuunda tume ya mwakyembe nan alie azimia??
 
Hii ni hatua ya kwanza kuungana kufanya mambo mengi makubwa mbele,sababu Wabunge wa CCM washaona hali ni mbaya nchini. Nipe nikupe.
Hakuna kitu ya namna hii wanaungana wengi wao eidha wanafanya moja kwa moja au wana mtu wao ambaye ni mfadhili anahusika.
 
Ndiyo tatizo lenu la mapungufu ya elimu. Kumbe uelewa wenu wa Bunge ni uhasama?

Usijitie ujinga unaweza kuanza kuelimika ukajonufaisha
Wewe soma thread upya,huelewi basi kuwa kimya please,hakuna niliposema bunge ni uhasama au uadui
 
Kuna Wabunge wanataka kuzuia hii vita ya madawa ya kulevya kupitia maazimio ya bunge.
Wapinzani nao bila kujua wamewaunga mkono kwa nguvu zote.

Nimeshangaa kweli eti heshma ya wabunge wanaitafuta kupitia kuwatetea watuhumiwa wa madawa ya kulevya. Kwa nini isiwe wakati wenzao wanakamatwa na kutupwa ndani na hata kunyimwa dhamana.

Nilitegemea wabunge wa upinzani waunge mkono hii vita badala yake wao ndio wanakua mbele kuhujumu harakati za kupunguza viashara haramu ya nadawa.
 
Bunge linaendelea,wabunge wa upinzani ambao ndio upande wangu wamezidiwa ujanja na CCM kabisa safari hii.yaani nimewadharau sana kwa kutoweza kulijua hili.

Hivi ni lini CCM waliungana na wapinzani pale bungeni katika kuamua jambo kwa pamoja? Eti safari hii wameazimia kwa pamoja hoja ya waitara kwamba Paul Makonda na Dc wa Arumeru waitwe kwenye kamati ya maadili ya bunge kwa kulidharau bunge.

Hivi nyie wabunge wetu hamjaweza kujitafakari kwa kina kwamba ni kwa nini ccm wakubaliane 100% na nyie?

Juzi Mh.Zito Kabwe si alitoa hoja binafsi kwamba bunge lijadili kwa nini wabunge wakamatwe hovyo wakiwa eneo la bunge? Je hao ccm walitoa ushirikiano?

Bunge live hakuna,wapinzani mlipaza sauti sana,je hao ccm walitoa ushirikiano?

Hakuna mikutano ya vyama vya siasa,mmelalamika sana je hao ccm walitoa ushirikiano?

Ni mambo mengi yenye tija kwa taifa huwa mnayapigania sana hadi wakati mwingine mnasusa na kutoka ndani ya bunge,lakini hao wabunge wa CCM hawajawahi kuwapa support. Iweje kwa hili wawe upande wenu?

Tena hili halina hata tija yoyote kitaifa.Hivi hili lina maana kuliko la katiba mpya? Mbona hawakuwasupport?

Yaani mmeshindwa kuelewa kwamba nyie mmefanywa kama daraja hapo? Daah,kweli akili ni nywele kila mmoja ana zake.


Team Lumumba huna lolote wewe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwani suala la kudharau bunge linawagusa wote kwahiyo ulitaka wapinge? Wewe kwakuwa umewadharau wapinzani rudini CCM
 
Kwahiyo wewe unataka kila siku wawe wanatofautiana?
Mkuu mbona unakurupuka? Pamoja na mifano yote niliyotoa bado tu hujaelewa? Wawe pamoja kwa mambo msingi ila sio kwa hili la kutaka kumtoa kwenye mstari Makonda
 
naona umetumwa na MAKONDA uje utugawe ili apate unafuu :):):):):):),mwambie tutakuwa kitu kimoja mpaka tutakapo mshughurikia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom