Makongoro Mahanga: Makonda, ukiteuliwa Soma na elewa vizuri mamlaka, madaraka na mipaka yako ya kazi

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Anaandika Makongoro Mahanga

WARAKA MFUPI KWA MKUU WANGU WA MKOA, MH. MAKONDA.

Kuna mambo nimejifunza katika utumishi wangu wa umma na kwenye siasa kwa miaka 40 sasa.

Ni kwamba ukipewa cheo:

1. Kwanza, soma na elewa vizuri mamlaka, madaraka na mipaka yako ya kazi kama yalivyo kwenye instruments za kazi yako na sheria na kanuni zilizopo, na kila siku fanya kazi kwa kuzingatia hayo tu.

2. Pili, pamoja na umuhimu wa kujiamini kwenye utendaji wako, usitumie dharau, majivuno, kiburi na much-know.

3. Tatu, hata kama aliyekuteua au boss wako ni rafiki yako sana, anakusifu na kukupongeza sana, na hata kukupa maagizo yanayokiuka mamlaka yako na sheria zilizopo, lazima ujiongeze ili usitoke kwenye misingi niliyoeleza kwenye namba moja na mbili hapo juu.

Kwa maoni yangu wewe Mkuu wangu wa Mkoa, hujazingatia hizo kanuni za utumishi bora, na ona sasa... wanamichezo na wasanii wanakupinga, wanasiasa na wabunge wa chama tawala na wa upinzani wanakupinga, mawaziri wanakupinga, watumishi wa Mungu wanakupinga, wanasheria wanakupinga, Spika anakupinga, watumishi wa chini yako wanakupinga na sisi wananchi tulio wengi tunakupinga....

....Na kipindi hiki aliyekuwa anakupa ujeuri kutokana na namba tatu hapo juu, atakutosa... na hii ni kwa sababu hukufuata misingi ya namba 1 na 2 hapo juu, na pia hukujiongeza hapo kwenye namba 3 ..... Hakika atakutosaaa kama vile hakujui.. ndivyo walivyo mabosi... chunga maneno yangu haya...

Nduguyo Makongoro Mahanga
 
Kwa kiburi alichonacho na ulimbukeni anaona safari yake ya siasa itadumu milele amesahau aliempa kiburi anamtumia akitoka pale atalindwa na katiba milele yeye sijui atajificha wapi kwa awamu zinazokuja au na yeye atajilimbikizia mali awe kama GSM wanakula milele??? Kuna kiongozi gani kwa sasa kwenye chama au serikali atapenda kufanya nae kazi kiherehere kama hicho? Ambacho sasa anatoa amri hata kwa mawaziri? Nadhani hakuna itakuwa mwisho wa siasa zake na atakufa njaaa.....hakika!! Ajipange upya hata kama amedanganywa aombe ubunge nyamagana hatapata!!!!! Tupo na tuombe uzima
 
Anaandika Makongoro Mahanga

WARAKA MFUPI KWA MKUU WANGU WA MKOA, MH. MAKONDA.

Kuna mambo nimejifunza katika utumishi wangu wa umma na kwenye siasa kwa miaka 40 sasa.

Ni kwamba ukipewa cheo:

1. Kwanza, soma na elewa vizuri mamlaka, madaraka na mipaka yako ya kazi kama yalivyo kwenye instruments za kazi yako na sheria na kanuni zilizopo, na kila siku fanya kazi kwa kuzingatia hayo tu.

2. Pili, pamoja na umuhimu wa kujiamini kwenye utendaji wako, usitumie dharau, majivuno, kiburi na much-know.

3. Tatu, hata kama aliyekuteua au boss wako ni rafiki yako sana, anakusifu na kukupongeza sana, na hata kukupa maagizo yanayokiuka mamlaka yako na sheria zilizopo, lazima ujiongeze ili usitoke kwenye misingi niliyoeleza kwenye namba moja na mbili hapo juu.

Kwa maoni yangu wewe Mkuu wangu wa Mkoa, hujazingatia hizo kanuni za utumishi bora, na ona sasa... wanamichezo na wasanii wanakupinga, wanasiasa na wabunge wa chama tawala na wa upinzani wanakupinga, mawaziri wanakupinga, watumishi wa Mungu wanakupinga, wanasheria wanakupinga, Spika anakupinga, watumishi wa chini yako wanakupinga na sisi wananchi tulio wengi tunakupinga....

....Na kipindi hiki aliyekuwa anakupa ujeuri kutokana na namba tatu hapo juu, atakutosa... na hii ni kwa sababu hukufuata misingi ya namba 1 na 2 hapo juu, na pia hukujiongeza hapo kwenye namba 3 ..... Hakika atakutosaaa kama vile hakujui.. ndivyo walivyo mabosi... chunga maneno yangu haya...

Nduguyo Makongoro Mahanga

katika utumishi wako wa umma utakumbukwa kwa lipi zaidi ya kuomba uwaziri kamili
 
Makonda sasa kakonda usiku anakesha na jerry muro wameenda kuchukua pesa kwa ipp ili jerry amchane manji chenel 10 , vita ya unga sasa ipo vibaya wenye chuki binafsi na manji na wengineo wamepenya kwa makonda hali ni mbaya sana.
 
Hii vita ni kali sanaa
Ningekua Rais ningenyonga watu wengi saana.
Ni bora kubaki na raia milioni 20 kuliko milioni 50 ili kusudi hii nchi hii iende mbele. Inakuakua vipi mtu aanzishe kitu kizuri tena chenye manufaa kwa jamii halafu baadhi ya wanajamii hao hao walio wachache wanakipinga.
Ombeni nisije kua rais...Mwafwaaaaa
 
Kwa kiburi alichonacho na ulimbukeni anaona safari yake ya siasa itadumu milele amesahau aliempa kiburi anamtumia akitoka pale atalindwa na katiba milele yeye sijui atajificha wapi kwa awamu zinazokuja au na yeye atajilimbikizia mali awe kama GSM wanakula milele??? Kuna kiongozi gani kwa sasa kwenye chama au serikali atapenda kufanya nae kazi kiherehere kama hicho? Ambacho sasa anatoa amri hata kwa mawaziri? Nadhani hakuna itakuwa mwisho wa siasa zake na atakufa njaaa.....hakika!! Ajipange upya hata kama amedanganywa aombe ubunge nyamagana hatapata!!!!! Tupo na tuombe uzima

Ndio maana anajikusanyia utajiri,siku akitimuliwa aweze kusimama na kuendesha maisha yake.
 
Anaandika Makongoro Mahanga

WARAKA MFUPI KWA MKUU WANGU WA MKOA, MH. MAKONDA.

Kuna mambo nimejifunza katika utumishi wangu wa umma na kwenye siasa kwa miaka 40 sasa.

Ni kwamba ukipewa cheo:

1. Kwanza, soma na elewa vizuri mamlaka, madaraka na mipaka yako ya kazi kama yalivyo kwenye instruments za kazi yako na sheria na kanuni zilizopo, na kila siku fanya kazi kwa kuzingatia hayo tu.

2. Pili, pamoja na umuhimu wa kujiamini kwenye utendaji wako, usitumie dharau, majivuno, kiburi na much-know.

3. Tatu, hata kama aliyekuteua au boss wako ni rafiki yako sana, anakusifu na kukupongeza sana, na hata kukupa maagizo yanayokiuka mamlaka yako na sheria zilizopo, lazima ujiongeze ili usitoke kwenye misingi niliyoeleza kwenye namba moja na mbili hapo juu.

Kwa maoni yangu wewe Mkuu wangu wa Mkoa, hujazingatia hizo kanuni za utumishi bora, na ona sasa... wanamichezo na wasanii wanakupinga, wanasiasa na wabunge wa chama tawala na wa upinzani wanakupinga, mawaziri wanakupinga, watumishi wa Mungu wanakupinga, wanasheria wanakupinga, Spika anakupinga, watumishi wa chini yako wanakupinga na sisi wananchi tulio wengi tunakupinga....

....Na kipindi hiki aliyekuwa anakupa ujeuri kutokana na namba tatu hapo juu, atakutosa... na hii ni kwa sababu hukufuata misingi ya namba 1 na 2 hapo juu, na pia hukujiongeza hapo kwenye namba 3 ..... Hakika atakutosaaa kama vile hakujui.. ndivyo walivyo mabosi... chunga maneno yangu haya...

Nduguyo Makongoro Mahanga

Eti mwenye mawazo haya alipata kuwa mbunge na waziri katika nchi hii, ndio maana tupo hapa tulipo. Bila kumung'unya maneno, haya ni mawaz o ya mtu mjinga kabisa, mfanya kazi kwa mazoea. Dunia haibadilishwi na watu wenye kufanya kazi kwa mazoea bali watu wanaothubutu kupita mipaka ya kawaida iliyozoeleka. Watu wanaoheshimika na kukumbukwa duniani kote si wale wanaofuata utaratibu kwa kijiti bali wanaovumbua ama kusafisha njia kwa ajili ya utaratibu mpya. Jamii ya watanzania inawahitaji watu ya namna hiyo na sio watu kama Makongoro Mahanga.Makonda amekuwa mkuu wa mkoa wa Dsm kwatakriban mwaka mmoja amesikika na kuleta impact kubwa kuliko hata Mahanga aliyekaa kwenye uwaziri miaka dahali. Si ajabu leo Mahanga mwenyekiti wa chama chake tawi la tabata anatafuta 'nirudi vipi' kupitia kwa Makonda.
 
Back
Top Bottom