Wana JF,
Nimetafakari kinachoendelea sasa Dhidi ya Edward Lowassa ambacho kinafanywa na Ndg Diallo na Genge lao ni kitu cha aibu.
Tunafahamu chuki ya Diallo ni pale alipotuma wazee kutoka Mwanza kina Masala Kulangwa kuja Edward kuwa anataka kumuunga mkono but kuna masharti akatoa
1...
Propaganda team on work, bila kumsema lowasa hulali mwandishi gani wewe unaandika upuuzi huu sisi huko Dodoma tunamuona Edo akifanya mazoezi kila siku.
Bashe hajawahi kutuma vijana Pugu halafu inaonekana wewe upo mbali sana na siasa Bashe na Membe wapi na wapi mwaka 2012 ulikuwa wapi hukusikia mvutano mkubwa wa kisiasa kati ya Membe na Bashe wakati wa mkutano mkuu wa ccm Dodoma? Kigwangallah ndo kinyago cha membe na ndo anazunguka nchi nzima...
Aliempeleka mzee Saidi kigwangalla kwa Bashe ni kijana mmoja anaitwa Allan na alifanya hivyo baada ya yeye kutofautiana na mh kigwangalla na ndo aliyemrekodi huyo mzee na ndo anaujua ukweli wa msaada anaopata kutoka kwa Bashe
Mtoa taarifa ni mpotoshaji mpaka leo hii Bashe anampatia sh laki moja kila mwezi huyo mzee kwa ajili mahitaji yake, tuacheni siasa za kushabiki mwenye laana ni huyo mbunge aliyelewa misifa ya kijinga na kutelekeza mzazi wake
Huyo ni ---- fulani mzanzibari anaitwa cartoum anachafua chuo mtu mwenyewe yupo shalo kinoma kuna mdogo wangu kasoma hapo wamemgomea hata hizo sup hawajafanya kesi ipo kwa mkuu wa chuo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.