Recent content by jet2015

  1. J

    Lowassa apata wakati mgumu kwa wajumbe Kamati ya Mambo ya Nje

    Acha ubwege wewe kijana lowassa ni next level
  2. J

    Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

    Ni mtoto mdogo tu labda anaweza kuamini huo uongo ulioandika Lowassa ndo chaguo sahihi la wananchi jiandaeni tu kisykolojia kuongozwa na Laigwanani
  3. J

    Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

    Lowassa ni chaguo la mungu mtampinga ila hamtashinda, Ameanza Diallo na wengine mnaendelea siku zote mti wenye matunda ndo hupopolewa, Go go Edward
  4. J

    Samsung flat screen 43inch inauzwa

    Bei ya mwisho ngapi? Nahitaji hiyo kitu
  5. J

    Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

    Edward amebeba matumaini ya watanzani wote, mnapoteza muda bure kumchafua.
  6. J

    Diallo una usafi gani wa kumsakama Edward Lowassa?

    Wana JF, Nimetafakari kinachoendelea sasa Dhidi ya Edward Lowassa ambacho kinafanywa na Ndg Diallo na Genge lao ni kitu cha aibu. Tunafahamu chuki ya Diallo ni pale alipotuma wazee kutoka Mwanza kina Masala Kulangwa kuja Edward kuwa anataka kumuunga mkono but kuna masharti akatoa 1...
  7. J

    Lowassa, mazoezi ya picha ya nini na unamuonesha nani?

    Propaganda team on work, bila kumsema lowasa hulali mwandishi gani wewe unaandika upuuzi huu sisi huko Dodoma tunamuona Edo akifanya mazoezi kila siku.
  8. J

    Bashe na utapeli wa kisiasa

    Bashe hajawahi kutuma vijana Pugu halafu inaonekana wewe upo mbali sana na siasa Bashe na Membe wapi na wapi mwaka 2012 ulikuwa wapi hukusikia mvutano mkubwa wa kisiasa kati ya Membe na Bashe wakati wa mkutano mkuu wa ccm Dodoma? Kigwangallah ndo kinyago cha membe na ndo anazunguka nchi nzima...
  9. J

    Bashe na utapeli wa kisiasa

    Aliempeleka mzee Saidi kigwangalla kwa Bashe ni kijana mmoja anaitwa Allan na alifanya hivyo baada ya yeye kutofautiana na mh kigwangalla na ndo aliyemrekodi huyo mzee na ndo anaujua ukweli wa msaada anaopata kutoka kwa Bashe
  10. J

    Bashe na utapeli wa kisiasa

    Mtoa taarifa ni mpotoshaji mpaka leo hii Bashe anampatia sh laki moja kila mwezi huyo mzee kwa ajili mahitaji yake, tuacheni siasa za kushabiki mwenye laana ni huyo mbunge aliyelewa misifa ya kijinga na kutelekeza mzazi wake
  11. J

    Kikosi cha leo cha Chelsea vs Atletico Madrid

    Team chelsea
  12. J

    MBA UDOM: Lecurer kafaulisha 6 na kukamata 28

    Huyo ni ---- fulani mzanzibari anaitwa cartoum anachafua chuo mtu mwenyewe yupo shalo kinoma kuna mdogo wangu kasoma hapo wamemgomea hata hizo sup hawajafanya kesi ipo kwa mkuu wa chuo
  13. J

    CHADEMA Yaitisha Mkutano na waandishi wa Habari leo Jumapili

    Chama cha matamko imekula kwenu yetu macho muulizeni na mbowe mbona alilirudi lile v8
Back
Top Bottom