Nakumbuka hata mimi nilikuwaga na hali kama yako na ilinichukua muda mrefu sana kuweza kuishinda nilijaribu kila njia lakini wapi...
Cha kwanza kabisa lazima ujue kwamba hiyo ni roho ya shetani inakuwinda kupoteza tumaini la watu utakao kuja kuwasaidia
mimi niliishinda kwa kuomba Mungu...
Wow! Ujumbe mzuri sana.
Katika kitu nilichojifunza kwenye maisha usisahau kusherehekea maisha mafanikio uliyonayo hata kama ni madogo maana hayo ndiyo ya kwako
Miaka ya ndoa 35..
Tuseme mlioana mkiwa na miaka 30 wewe na mke wako 23
Paka sasa wewe una miaka 65.
Na mke wako anamiaka 58
Na mke wake kazi zake ni za mbali miaka 58 mmmmh! na huyo mtoto anakuita baba sio babu kiasi cha kugusisha mwili wake na wako
Heeee!!!
Hence proved hiyo ni chai...
Ushauri huu unaweza kukusaidia niliwahi pitia hiyo hali unayopitia
Kuna mtu mmoja aliwahi sema ukiona umejaribu mambo yote kwa ushauri wa kisayansi lakini hali ni vile unahitaji nguvu zaidi ni hiyo ni NGUVU YA MUNGU
Jambo la kwanza amua kumkabidhi Yesu maisha yako uwe kiumbe kipya kwanza...
Mpango mkubwa wa shetani ni kuhakikisha anaumaliza ubaba ndani ya nyuma na kuiharibu nafasi ya mwanamme kwenye familia kwasababu anajua mwanamme akisimama kwenye nafasi yake katika familia kuna mabadiliko chanya kwa jamii na hata dunia kiujumla.
Familia nyingi ambazo baba akapewa nafasi kama...
Shetani yupo bize sana kuhakikisha ana kimaliza kitu kinaitwa familia kwa kuwa anajua nguvu iliyopo kwenye katika kuifanya dunia kuwa bora
Lakini katika Jina la Yesu kamwe hata weza
Ok ok pole sana ndugu yangu kwa yaliyokusibu
Cha kwanza nikupongeze kwa ujasiri wa kukubali kuandika na kueleza yanasokusibu japo wengi wanapitia lakini ni wagumu kusema ila kwa faida ya wengi tajaribu kueleza.
Kwa uelewa wangu PUNYETO haichwi kwa kuepuka mambo ya ngono au kutokaa peke yako...
Wakati wewe unasema maisha magumu
Kuna watu wananunua magari mapya
Wanafungua makampuni makubwa
Wanaagiza magari nje
Tuendelee kupiga kazi hakuna ugumu ila kuna fursa hakuna kufeli ila kuna kujifunzab
Tupige kazi tu wakuuu
Karibu sana sabuni za maji kwa matumizi ya kuogea
Sina harufu nzuri na zinauwezo wa kukuacha ukinukia baada ya kutumia zipo aina nne Strawberry, Vanilla, lemon Na Rose
Kwa Tsh 5,000
Location Mbezi Mwisho
Karibu sana
Sio wenzetu
Wenzetu ni Zimbabwe na kadhalika 😂😂😂...
Ok anyway tatizo sio mfumo tatizo ni walimu wanafundisha walivyo fundishwa
Maana ukisoma mtaala wa kufundisha umejikita sana kwa mwafunzi au mtoto kuelewa zaidi na sio kukariri
Inshort !!
Thamani ya mtu huwezi kuilinganisha na kiasi chochote cha pesa
Alitambua uhalisia na thamani yake mapema
Na Roho mtakatifu hakuwa nyuma kumsaidia
Nawaambia kama upo kwa Mungu unatumikia Mungu na unaongozwa na Mungu
Ndoa ni mpango wa Mungu na inabaraka kubwa sana kama mwanzilishi akiwa Mungu
Vijana tusioe kwasababu ya tamaa ,tako, sura , sijui rangi
Tuoe kwasababu Mungu katueleza kuhusu mwenza.
Ndoa ni nzuri sana sana
Kama mwanzilishi...
Hatua ya kwanza muamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako
Muanze kideal naye kihasahasa kwa maombi yasiyo kata
Nakuhakikushia ata akiondoka hakuna uchawi atakao uacha hapo
Mmh mzazi tena mama anamchukia mtoto hii ni ajabu kubwa sana aiseee
Kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia aiseee mama mzazi kabisa
Isaya 49:15 Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.