Nimeagiza binti wa kazi kutoka mikoani ila ameletwa mchawi na mshirikina. Tumeona dalili zote za kichawi ikabidi tumbane akakubali ila anasema yeye anatumika ila si hiyari yake.
Ameanza maombi maalumu ili aache hiyo hali ila sijui itakuwaje. Huwa anakaa chumba chake na tunamwachia nyumba na mtoto tunakwenda kazini, kazi za nyumbani yuko vizuri sana, namwambia wife amtoe lakini anasita kisa wasichana wa kazi wamekuwa shida.
Naombeni ushauri kwani hiyo hali imenitisha mno.
Ameanza maombi maalumu ili aache hiyo hali ila sijui itakuwaje. Huwa anakaa chumba chake na tunamwachia nyumba na mtoto tunakwenda kazini, kazi za nyumbani yuko vizuri sana, namwambia wife amtoe lakini anasita kisa wasichana wa kazi wamekuwa shida.
Naombeni ushauri kwani hiyo hali imenitisha mno.