Mkiona hii ID ya mtaalam Jesse Lingard jueni kuna mtu anakaribia kuangushiwa jumba --
Majuzi tu, 2021, yule Mdada wa JF aisee hapana -- Dada ana mwili mkubwa amejazia juu hatari -- Halafu mwenyewe anaji brag ni corporate material -- Nilimvumilia masaa machache, ukawa mwisho. Mbusi yule maneno...
Yule demu anayesema babe nataka nikasuke ila nimepungukiwa pesa kidogo. Unatuma 100k pasipo kuuliza amepungukiwa bei gani. Unamuuliza atakuwa na muda saa ngapi muonane, anasema akienda kusuka itachukua muda mrefu nywele anazotaka, anasema au nije nitasuka kesho. Anakuja, goli tatu tamu zinapigwa...
Vingereza vingi -- Sema ni kweli 2Pac was merciless, alikuwa anaua na flow yake na energy.
Sema kwangu Biggie was Magical, more than them all.
Kwa heshima ya Pac na Biggie niliamua kumuweka Jay Z #3, vinginevyo anastahili kuwepo #1.
Cha kushauri kikubwa mwambie mtoto ukweli kuwa wanawake wote wana cheat. Asithubutu kuoa. Ikiwezekana uwe unamkumbusha mara nyingi kuwa wanawake wote ni madogi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.