Wazee Wa Kataa Ndoa Waendelea Kuupiga Mwingi.

Wazee Wa Kataa Ndoa Waendelea Kuupiga Mwingi.

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,075
Reaction score
8,799
Mwanaume mmoja raia wa Zambia Arnod Masuka ameiomba mahakama nchini humo kumpa talaka ili atengane na mke wake kwa kile alichoeleza kuwa urembo wa mke wake unamfanya aishi kwa wasiwasi.
Ameiambia mahakama kuwa urembo wa mke wake Hilda Mleya unamfanya asipate usingizi kwa hofu ya kumpoteza kwa mwanamme mwingine

NB:Kwanini ndoa ikutese,kwanini uishi kwa Wasiwasi na hofu, Jamaa kaona kuna dalili za kupigwa na kitu kizito kaamua kumaliza pambano..
20230529_155518.jpg
 
Huyu jamaa alitumia busara tu ya kutaka kumuacha mkewe kwa amani, mbona mke mwenyewe ni wa kawaida tu? Usikute wana familia hawamtaki au jamaa mwenyewe alishagundua kuwa mwanamke ana mtu wake huko nje au tu yeye mwenyewe jamaa baada ya kula tunda akaona demu hana maajabu, ya nini ajambiane naye kitandani milele.
 
Huyu jamaa alitumia busara tu ya kutaka kumuacha mkewe kwa amani, mbona mke mwenyewe ni wa kawaida tu? Usikute wana familia hawamtaki au jamaa mwenyewe alishagundua kuwa mwanamke ana mtu wake huko nje au tu yeye mwenyewe jamaa baada ya kula tunda akaona demu hana maajabu, ya nini ajambiane naye kitandani milele.
Line ya mwisho imekaa ki hiphop sana.
 
Back
Top Bottom