Basi ndo kishamlamba tena kwa ushamba wake anaweka vyeti tin mpaka na picha kabisa kama anamtumia babaake kudadadeki kumbe analichonga kaburi lake mwenyewe ngoja wanayanga waamke walivalie njuga ataelewa athari zake soon, maana sababu inaonekana alitaka amfanye mwenzie kitega uchumi mwenzake...
Mwanangu nakuomba futa hii post haraka sana kabla washkaji hawajaamka maana wakiamka na kusave na kuanza kufatilia ote wawili mnapoteza na mnaweza kuchezea fine ana mvua ya kutosha tu toa haraka hii post la sivyo huo wivu wako wa kitoto unaenda kukugharimu pakubwa
Hyo ni ajali kazini tu wangapi humu tumepitia masoto ya wanajeshi na hakuna walikosema kama wengekuwa wanania ya kuwauwa wangewaulia pale pale getini wasingeambiwa waondoke.
Back 2010 nishapitaga eneo la jeshi banana ambko hawaruhusu kutembea raia nikala budy kuanzia saa 1 mpka saa 5 usku...
Hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kupanda boti na kwenda zanzbar miaka ya 2008s huko.
Sababu ya kwenda ilikuwa nataka nianze biashara ya simu used baada ya biashara ya simu ya mwisho kuuza kunipeleka police (simu ya wizi).
Kwenye kupambsns kwangu kuuza na kununua simu nikawa...
TOyota passo new model
engine 1000cc
mwaka 2012
50000k km
full documents
naiuza kwa 12.5m
je unatafuta gari ya kununua au unataka kuuza gari yako basi jibu lako ni mimi nitafute kwa no hizo kwa ajili ya kununua gari bora na hata kuuza gari yako
0795967364
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.