Recent content by jerryempire

  1. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kupanda boti na kwenda zanzbar miaka ya 2008s huko. Sababu ya kwenda ilikuwa nataka nianze biashara ya simu used baada ya biashara ya simu ya mwisho kuuza kunipeleka police (simu ya wizi). Kwenye kupambsns kwangu kuuza na kununua simu nikawa...
  2. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Magari used Tanzania

    TOyota passo new model engine 1000cc mwaka 2012 50000k km full documents naiuza kwa 12.5m je unatafuta gari ya kununua au unataka kuuza gari yako basi jibu lako ni mimi nitafute kwa no hizo kwa ajili ya kununua gari bora na hata kuuza gari yako 0795967364
  3. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Chuando tan ana miaka 60 lakini ana muonekano wa kijana kabisa

    Ulishaangalia kafanya surgery ngapi?
  4. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Tumeliona tutalifanyia kazi
  5. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Kansa zitawaacha salama kweli
  6. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Je, utakubali kuishi maisha yako haya haya tena na tena milele bila kubadilisha kitu?

    Rencarnation it's just a myth my friend
  7. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Bawasiri kwa sasa inatibika vyema

    Bila kuweka bei humu utapoteza nguvu zako tu bure mkuu
  8. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Wanawake washenzi sana tena ukitaka kujua kama ni washenzi,malimbukeni,hawana akili,wabinafsi, basi apate hela alafu wewe uwe apeche alolo aisee mbona dunia utaiona chungu. Mwanamke mlishe hata miaka 10 yeye asitoe sh 10 yake lakini ukikosa ndani ya mwezi tu na yeye ndo akawa nacho peke yake...
  9. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Watu wanaingiza pesa kizembe sana mtandaoni siku hizi, ukiwa gheto, nyumbani ni, simu au laptop, tu

    Angekuwa baba yako mzazi ungemuweka profile hyo na kutumia jina lake?
  10. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Usimruhusu mkeo apost insta picha zake wala aende Gym

    Mbona sku hizi ishakuwa tu kama fashion hasa ma single mother ndo hatari na vijisababu vyenu vya uongo na kweli
  11. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya maandamano 2026

    Mshana wewe ni mtu mkubwa sana hichi ulichoandika sjui ulikuwa unajua effect zake upande wako maana humu tutakusifia tu na kukufanya uonekane shujaa but behind the scene kitachotokea hakuna mtu mwenye msaada humu zaidi ya pole za mdomo
  12. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Magari used Tanzania

    NISSAN DUALIS (DYF)🇹🇿* Calls 0795967364 Price 12.8mil* Full Ac Full Files Cc 1990 Year 2010 Low Mileage Android TV Clean Interior New Four Tyres EXCHANGE ALLOWED / NAVUNJA NA GARI YOYOTE@⁨all⁩
Back
Top Bottom