Recent content by jerryempire

  1. jerryempire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtu umemuoa afu anakupikia vyakula vya banda la chipsi

    Nikajua nateseka mwenyewe
  2. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    DOGO ACHA PUNYETO
  3. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Njoo dm tena hii thread ifute asije kukutana nayo akastuka the rest tuachie
  4. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Njoo dm tena hii thread ifute asije kukutana nayo akastuka the rest tuachie
  5. jerryempire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    Nahis alijua humu ni facebook ambako watu hawailiz kwa logic
  6. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Usikubali wakuuzie bei ya juu, njoo upate BULK SMS kwa Tsh. 7

    Hebu nipe elimu ya hii mkuuna package zako zimoje?
  7. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    Kama ni mwanamke inaweza kuwa fistula hiyo
  8. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Milayoyo
  9. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Kwangu kwenyewe bila AC hutoboi lakini nimeenda mpaka nmeondoka silijui feni wala mbu ni pure oxygen tu inshort nmerestart ubongo wangu
  10. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Nimetoka kumpeleka wife Songea vijijini huko kila nyumba wamelima mahindi na vyskula nje naweza ndo mkoa ambao ukiwa na 10k unatumia week nzima na bado change inabakia nmeondoka nmepewa vitu kibao na majirani mahind,maharage,nyanya,vtungu buree inshort ni sehemu yenye upendo wa kweli na neema ya...
  11. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Mleta thread utakuwa ni mtoto wa 2000 huwez fananisha elimu ya miaka hyo na sasa kijana
  12. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Kaka yake Humphrey Polepole nadhani hayupo Serious ni wa kumpuuza kwa sasa

    High depression need consultancy
  13. jerryempire

    JamiiForums Tanzania KERO Kinachofanyika Uhamiaji tukikinyamazia Watoto wetu watakuwa watumwa katika ardhi yao, kuwe na usawa

    Kijana unapata faida gani kuleta taarifa za uongo hivyo unazijua procedure tunazotumia kudahili wahitimu nilikuwepo kwenye interview zaidi ya 4 mpaka sasa lakini sijawahi kuona huo upuuzi unaodanganya hapa na wala huwezi kuwa mtumishi kutoka uhsmiaji mwenye mamlaka ya kuingia ama kuwa na maamuzi...
  14. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Natafuta dereva wa private Dar-mbeya

    Ningekuendesha sema wanawake mna mambo mengi
Back
Top Bottom