Nimetoka kumpeleka wife Songea vijijini huko kila nyumba wamelima mahindi na vyskula nje naweza ndo mkoa ambao ukiwa na 10k unatumia week nzima na bado change inabakia nmeondoka nmepewa vitu kibao na majirani mahind,maharage,nyanya,vtungu buree inshort ni sehemu yenye upendo wa kweli na neema ya...
Kijana unapata faida gani kuleta taarifa za uongo hivyo unazijua procedure tunazotumia kudahili wahitimu nilikuwepo kwenye interview zaidi ya 4 mpaka sasa lakini sijawahi kuona huo upuuzi unaodanganya hapa na wala huwezi kuwa mtumishi kutoka uhsmiaji mwenye mamlaka ya kuingia ama kuwa na maamuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.