Recent content by jerryempire

  1. jerryempire

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango nae. Nawaza bwana ake akijua sijui itakuaje

    Nahis alijua humu ni facebook ambako watu hawailiz kwa logic
  2. jerryempire

    Usikubali wakuuzie bei ya juu, njoo upate BULK SMS kwa Tsh. 7

    Hebu nipe elimu ya hii mkuuna package zako zimoje?
  3. jerryempire

    Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    Kama ni mwanamke inaweza kuwa fistula hiyo
  4. jerryempire

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Kwangu kwenyewe bila AC hutoboi lakini nimeenda mpaka nmeondoka silijui feni wala mbu ni pure oxygen tu inshort nmerestart ubongo wangu
  5. jerryempire

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Nimetoka kumpeleka wife Songea vijijini huko kila nyumba wamelima mahindi na vyskula nje naweza ndo mkoa ambao ukiwa na 10k unatumia week nzima na bado change inabakia nmeondoka nmepewa vitu kibao na majirani mahind,maharage,nyanya,vtungu buree inshort ni sehemu yenye upendo wa kweli na neema ya...
  6. jerryempire

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Mleta thread utakuwa ni mtoto wa 2000 huwez fananisha elimu ya miaka hyo na sasa kijana
  7. jerryempire

    KERO Kinachofanyika Uhamiaji tukikinyamazia Watoto wetu watakuwa watumwa katika ardhi yao, kuwe na usawa

    Kijana unapata faida gani kuleta taarifa za uongo hivyo unazijua procedure tunazotumia kudahili wahitimu nilikuwepo kwenye interview zaidi ya 4 mpaka sasa lakini sijawahi kuona huo upuuzi unaodanganya hapa na wala huwezi kuwa mtumishi kutoka uhsmiaji mwenye mamlaka ya kuingia ama kuwa na maamuzi...
  8. jerryempire

    Natafuta dereva wa private Dar-mbeya

    Ningekuendesha sema wanawake mna mambo mengi
  9. jerryempire

    Mkoa gani unaongoza kwa gharama kubwa za maisha?

    Dodoma Arusha Geita Mtwara
  10. jerryempire

    The Voices From Within: Nimeelezwa Kufuatia Damu Nyingi Kumwagika, Hakutakuwepo Tena na Matukio ya Wasiojulikana!

    Utoto akiongea mtoto wazaz hushangilia na kusema anakuwa lakini akiongea. Mtu mzima huwa ni fedheha
  11. jerryempire

    Uume na korodani ngozi inababuka sana inatoa magamba magamba kama nyoka. Msaada wa dawa

    Oga vizuri,vaa boxer kavu mwisho usisahau kupaks mafuta tafuta lotion ya nivea inaitwa nivea deepcondition
Back
Top Bottom