Recent content by jerryempire

  1. jerryempire

    Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Njoo dm tena hii thread ifute asije kukutana nayo akastuka the rest tuachie
  2. jerryempire

    Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Njoo dm tena hii thread ifute asije kukutana nayo akastuka the rest tuachie
  3. jerryempire

    Usikubali wakuuzie bei ya juu, njoo upate BULK SMS kwa Tsh. 7

    Hebu nipe elimu ya hii mkuuna package zako zimoje?
  4. jerryempire

    Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    Kama ni mwanamke inaweza kuwa fistula hiyo
  5. jerryempire

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Kwangu kwenyewe bila AC hutoboi lakini nimeenda mpaka nmeondoka silijui feni wala mbu ni pure oxygen tu inshort nmerestart ubongo wangu
  6. jerryempire

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Nimetoka kumpeleka wife Songea vijijini huko kila nyumba wamelima mahindi na vyskula nje naweza ndo mkoa ambao ukiwa na 10k unatumia week nzima na bado change inabakia nmeondoka nmepewa vitu kibao na majirani mahind,maharage,nyanya,vtungu buree inshort ni sehemu yenye upendo wa kweli na neema ya...
  7. jerryempire

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Mleta thread utakuwa ni mtoto wa 2000 huwez fananisha elimu ya miaka hyo na sasa kijana
  8. jerryempire

    KERO Kinachofanyika Uhamiaji tukikinyamazia Watoto wetu watakuwa watumwa katika ardhi yao, kuwe na usawa

    Kijana unapata faida gani kuleta taarifa za uongo hivyo unazijua procedure tunazotumia kudahili wahitimu nilikuwepo kwenye interview zaidi ya 4 mpaka sasa lakini sijawahi kuona huo upuuzi unaodanganya hapa na wala huwezi kuwa mtumishi kutoka uhsmiaji mwenye mamlaka ya kuingia ama kuwa na maamuzi...
  9. jerryempire

    Natafuta dereva wa private Dar-mbeya

    Ningekuendesha sema wanawake mna mambo mengi
Back
Top Bottom