Ku-Unfriend tu, mimi nimeanza kuunfollow, ku-unfriend au kublock . na zile page nilizokuwa nimelike na kuonyesha interest ya ushoga kama ya obama, alicia keys, leonald di caprio zooote tupa kule.. unlike.
Inabidi kila mtu afanye hivi kwa kuchukua ushoga. kwani ndivyo uanza taratibu.
Just...
Unajua Sometimes Kumwelewesha mtu mwenye itikadi za kishoga atasababisha unukie harufu ya ushoga mwisho wa siku na wewe jamii ikuone kama shoga.
Hivi ni kweli unaona sahihi kukaa katika jamii inayokuzunguka na mashoga au wasagaji. Haiingii Akilini.
Gademu.
wewe ndo ufwatilie mambo
Read Obamas Speech About Same-Sex Marriage Ruling
12:40 PM ET SHARE
Obama gave this speech after the historic Supreme Court ruling on Friday
Our nation was founded on a bedrock principle that we are all created equal. The project of each generation is to...
Nimesikitishwa sana sana na sheria za Marekani pamoja na viongozi wake, akiwamo Potus Barack Obama, John Kerry pamoja na vioo vya jamii, kama Leonardo DiCaprio.
Jamani, mimi si-support hata kidogo USHOGA pamoja na ITIKADI ZAKE. Pengine Kwangu ndo Ikawa ndio sababu ya kutokutembelea au kuingia...
acha ufala wewe... unaleta picha gani.. mbona unajishusha sana saman.. kwani ulikuwa ujui wanazolipwa wazungu wakija kufundi.. samahanini moderators lakin kuna wengine wanaudhi umu ndan.. uwa sichangii lakin kwa hili hapana.. kwanza kabla ya kuandika topic fwatilia jambo.. au unataka alipwe pesa...
Nawanaokufaga wanelala ni hivihivi. Hata kama marehemu alikuwa anaumwa analose hope na kujikuta akilala huku akiwakatika taratibu hizi na kujikuta anashindwa kurudi katika mwili wake.
Kwa watangaza nia wote wa CCM na harakati za kutafuta wadhamini ni dhairi CCCM inanafasi nzuri sana ya kubeba kombe mwaka huu Oktoba.
Lakini sigarantee hii kitu, kwan Lowassa amekuwa na ushawishi mkubwa sana kwa watu wote.
Watu wanasema tu
mara lowassa anatoa pesa kwa watu
Hata kama...
Mpaka sasa, Mitihani imeamliwa kuendelea kwa mujibu wa kikao cha bodi ya chuo lakini bhado awajaelewana na serikali ya wanafunzi DITSO. mitihani itafanywa chini ya ulinzi mkali kuanzia saa nane hapohapo wanafunzi bado wanagoma kutokufanyika mitihan iyo mpaka wale wasiolipa waruhusiwe kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.