Hao sio wa Israeli wa kweli Hao ni mamluki kutoka ulaya mashariki wanaitwa khazarian au Ashkenaz sio wayaudi wa kwenye biblia wala hawana Uhusiano kabisa hao ni fake
kwenye swali namba 1... wayaudi halisi wako Ethiopia wanaitwa falashas mura ..hawa wa sasa hivi akina Netanyahu ni jamii moja ya wat u kutoka Kazakhstan Wanaitwa?khazarian ni wayaudi ambao Walisilimu kutoka ukristo kwenda kwenye uyaudi sio wale wa kwenye biblia na wala Hawausihani...
Mimi ni mkristo lakini Siwaungi mkono hao mamluki Wanaojiita israel
Waparestina wako aggressive coz wanajua hao watu sio wa waesrael wa kweli ni wazungu kutoka Uturuki
Kiufupi Waparestina Wanafahamu pale sio ardhi yao kiasili lakini tunahitaji waisrael halisi ambao wako Ethiopia na yemen...
Acha kudanganya watu hakuna taifa la mungu hapo...mbona hata Nyerere aliwakataa na kumbuka Nyerere alikuwa mkatoriki safi ni kwamba alijua hao ni mamluki na sio really Jews..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.