Recent content by jeremia meimos

  1. jeremia meimos

    Huwa unasafirisha vipi mzigo wako kutoka Kariakoo kwenda mikoani kwa urahisi na nafuu?

    Mfano mikoa ya kanda ya ziwa kama geita, akina nani wanahusika?
  2. jeremia meimos

    Hii ndiyo sababu wale wezi waliotundikwa na Yesu walivunjwa miguu

    Ukifuatilia kwa umakini, pilato hakuwa na nia ya kumuua yesu kwa ushauri wa mkewe claudia, kwahy pilato aliamuru yesu ateswe tu baadaye aachiwe, basi yesu aliteswa sana naweza kusema ni zaid ya wale wawili sababu alipaniwa sana. Lakin baada ya hapo yule kuhani mkuu ambaye ndiye aliyekuwa kama...
  3. jeremia meimos

    Umejiandaaje pale Familia yako itakapokutenga?

    Unafikiria kwa upana sana kiongozi
  4. jeremia meimos

    Kisumu vs Mwanza

    Umejumlisha na eneo la makazi au? Mbn kidogo hivo?sasa 60000km umezitoa wap [emoji16]
  5. jeremia meimos

    Kisumu vs Mwanza

    Mnang'ang'a na miundombinu tu[emoji16]
  6. jeremia meimos

    Uingereza wataka Uhuru Kenyatta apimwe Corona kabla ya kuingia

    @MK254 hujanena point, hao ndo mashujaa waliojarib kwenda kinyume na ubeberu,,kenya ndo nchi pekee east africa ambayo ni pango la mabeberu
  7. jeremia meimos

    Nimesikitishwa sana! Nchi ya watu milioni 55 haiwezi kutuma wanaspoti 5?

    Wakenya huwa mnapenda kutuzungumzis sana[emoji23] mm nilikuwa hata sina habar ila kuna mkenya anajua hayo dah [emoji23]
  8. jeremia meimos

    Meli ya kisasa ya kivita iliyotengenezewa Urusi yatia nanga Kenya kwa mazoezi ya pamoja na KDF....sema nyoko uone

    Sijaelewa wakenya wanataka kupigana na nan,, make alshabab ni wachache,, huwezi kuwaombea msaada urusi
Back
Top Bottom