Ebwanae, si ushabiki usio na tija wala nini ila ni ukweli usiopingika kwamba siasa za kiuanaharakati ndizo zilizosababisha hata ambao hatukuijua CHADEMA tukapenda siasa. Zama hizo Zitto Kabwe, Dr SLaa n.k. wapo CHADEMA. Kuondoka kwa hao watu lilikua pengo kubwa sana kwa upinzani hasa CHADEMA...
Huwa zinafanyiwa ukarabati na serikali kuu.Halmashauri haikuwahi kufanya ukarabati hata mara moja.Hoja inayotumiwa ni kuwa kila halmashauri inautaratibu wake wa kutafuta vyanzo vya mapato hivyo Kondoa girls haina haki ya kujilinganisha na shule za halmashauri nyingine kama msalato ..weruweru...
Katika hali ya vitisho na lugha ya udhalilishaji kupitia D.O na SLO wa Kondoa mji,waalimu wa Shule ya Sekondari ya wasichana kondoa wameamriwa kuanzia mwezi huu walimu wanaoishi kwenye nyumba za shule hiyo watalipa kodi shilingi elf 50 kama hawataki wakapange mtaani wapange foleni kwenda chooni...
Kulia. .Lowasaaaaaa..kushoto..Lowasaa..Kusini..Lowasaaa..kaskazini Lowasaaa..hatutaambiwa chochote tubadili muelekeo...msitusihi tuacheni tutampigia kura LOWASA kama ni kujuta au kufurahia tuko tayari kwa yote sharti tu Lowassa ndiye chaguo letu.LONG LIVE LOWASA.
Kukalia kisu chenye ncha kinachoelekea juu kupo palepale october 25.Mnara wa Babeli lazima uanguke.Hakuna falme itakayodumu milele.Hata ubabe wa marekani unakikomo.Ugiriki inayokopeshwa kila siku iliwah kuwa dola yenye yenye nguvu na iliyotawala dunia sembuce chichem?
We acha uongo..nimepita na Machame inayoelekea Kondoa asubuhi wakati askari wanapima hata kabla mwili haujaondolewa.majeraha anayo kichwani na gari kwa mbele hasa upande wa kulia iko nyan'ga so tumia akili kujiuliza hayo maswali na si kutumia unazi wa chama unachoshabikia.
Acha uchapati...
Mzee sijajua kwanini anashindwa kusoma alama za nyakati.Angekuwa anakubalika pamoja na uzee wake sawa lakini si kama ilivyo kwa Mugabe.Simchukii mzee Lyatonga lakini namsikitia atakavyoreact baada ya kushindwa ubunge huususan maradhi yanayomkabili sijui atakuwa imara kiasi gani kukubali kuwa...
Bwana Agustino Lyatonga Mrema ulifanya mengi makubwa yenye manufaa katika taifa hili na watanzania wote wanafahamu.Lakini ni vyema ungetambua hayo uliyafanya kwa wakati uliopasa uyafanye.
Mimi ni mwanavunjo.Tulikuchagua kipindi kilichopita kuwa mbunge wa Vunjo ili umalize kwa hadhi harakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.