Recent content by Jembebutu

  1. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    This is a kind of life I need brother?
  2. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Wewe hatuchekani kaka,,🤣🤣
  3. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Vipi wewe ulilimalizaje mkuu. Hebu nipe mbinu asee.
  4. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Kuhusu uaminifu hilo ni suala lingine mkuu🤣
  5. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Thats not a big deal. Issue ni kwamba nakosa kabisa uhuru na simu. Yaani sijui ni anaoteshwa na malaika au ni jini? Haischukui siku mbili tayari password ashaijua. Naweza hata kuweka ya sura ila kwanini anichimbe kwenye simu yangu?
  6. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Sure bro kama ni stroke anaweza kupata kwa kweli kwa sababu huyu mwanamke kama kunipenda nahisi ananipenda. Ila hii tabia ya kuchunguza simu, asee siipendi, ananikera mno.
  7. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Well said brother lakini tukubali kabisa kuwa si kila kitu tunashea na wake zetu. Wewe mkeo unamweleza kila kitu? Huna hata jambo moja ambalo hapaswi kujua?
  8. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Ni kama umeisoma akili yangu. Natamani nitoe kabisa password simu iwe wazi alafu nianze sasa kuchat na wanawake waziwazi. Nikirudi namuwekea mezani aangalie kama ITV.
  9. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Sula la kutokuwa busy linaweza kuwa sababu kabisa kwa maana yupo tu home na watoto ila kwenye kumtia mimba za mfululizo ntakuwa najiumiza mwenyewe.
  10. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Nishaongea sana kaka. Yaani sijui anakamataje. Nikibadili password asubuhi jioni anayo.
  11. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi. Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na...
  12. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Unaishi wapi? Unaweza kuendesha pikipiki?
  13. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

    Anayetumia muda wake kujenga chuki au kubaguana kwa misingi ya dini, ni mpumbavu tu.
  14. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

    Hakuna yeyote anayeweza kuthibisha uwepo wa Mungu kwa ushahidi wa aliyotenda yakionekana na yeye akionekana pia. Unless tutaleta tu story, mapokeo ya nadharia na vifungu vya dini. Kama yupo aliyewahi kukutana na Mungu , athibishe. Nje ya hapo ni blah blah tu. Mungu ni imani, na uwepo wake ni...
  15. Jembebutu

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Hawa ndo wasomi wenyewe sasa. Hata Kiswahili hawakijui. Duuh!
Back
Top Bottom