Sihungi mkono maneno ya Zitto kabisa,namwona kama kichaa ila niongee kuhusu huyu Mwigulu, yeye amezoea kutafta huruma kwa watu kama mwenzie Zitto,nachoona hapa Mwigulu alitaka kupigilia msumari maneno ya Zitto ila kwa stahili ya kujifanya anamponda,Mwigulu huna jipya tusha kufahamu na unafiki...