#UpdatesFromGhana#Prof.Anna Tibaijuka leo tarehe 13/9/2018 ameshiriki mazishi ya aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa wa saba (1997-2006) Bwana Kofi Annan anayezikwa leo tarehe 13/9/2018 nchini Ghana.Viongozi mbalimbali duniani wameshiriki mazishi hayo wakiongozwa na Katibu mkuu wa sasa wa Umoja wa mataifa Bwana Antonio Guterres pamoja na rais wa nchi hiyo Bwana Nana Akufo-Addo. Kofi Annan alifariki dunia tarehe 18/8/2018 nchini Switzeland wakati akiendelea kupata matibabu.