Pole dada yangu hapo kwa jinsi nilivyoona utalaumu mama,mume na hautapata majibu katika ali ya kibanadamu,mm nnacho ona kuna supirit of rejection inakutesa tafuta makanisa ya kiroho kwa jina la yesu itatoka coz umekataliwa na mume na wazazi pia
Mungu ibariki tanzania mungu ibariki africa so sad 2nyakati7:14 ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu watajinyenyekeza na kuomba nakuziacha njia zao mbaya na kunitafuta uso wangu nitasikia toka juu nakusamehe dhambi zao na kuiponya nchi yao,dhamana ipo mikononi mwitu watanzania
Mungu ibariki tanzania mungu ibariki africa so sad 2nyakati7:14 ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu wakiziacha njia zao mbaya na kuomba na kunitafuta uso wangu nitasikia toka juu nakusamehe dhambi zao na kuiponya nchi yao,dhamana ipo mikononi mwitu watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.