Inawezekana ukawa na magonjwa ya zinaa, wahi hospitalini doctor ndie atakaekueleza kwa uhakika juu ya tatizo lako. na kama una mpenzi nenda nae ili mkapimwe wote , maana magonjwa ya zinaa kwa wanawake huchelewa sana kujitokeza. pole.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.