TUNAVIJANA WA HOVYO SANA KATIKA NCHI HII, HIVI KWELI MTU ANASHINDWA KUELEWA MISIMAMO YA INDIA JUU YA DINI YA UISLAM, KWAIYO ULITEGEMEA WANGEMUONAJE KAMA SIO GAIDI.
KWANZA UGAIDI NI NINI ? SEMA MNAOGOPA JAMAA KAJA KIPINDI KIBAYA ,WATU WAMETOKA KUMSHEREKEA YESU ,YEYE ANAKUJA KUSAFISHA MAMBO JUU YA...
Malengo ya vita ilikuwa. Kuwarudisha mateka wote.
Kuvunja miundo mbinu ya hamas
Kuwakata viongozi wote hamas.
Hadi sasa hakuna liliotimia bado ,huenda yattamia yote ila muda waliochukua ni zaidi ya matarajio, manzoni walisema itachukua wiki tu kufikia malengo saiz tunaenda mwezi wa tatu mambo bado
Israel yafanya shambulio la kigaidi Beirut na kumuua moja viongozi wa HAMAS Saleh al-Arouri,
Saleh al-Arouri alikuwa Naibu Rais wa HAMAS, na kiongozi Mkuu wa hamas katika eneo la West Bank huko gaza.
Saleh al-Arouri ameisha wahi kukamatwa zaidi ya mara nane na jeshi la Israel, na ameisha wahi...
KIMWILI TUKO KATIKA ARDHI HURU YA TANZANIA, KIFIKRA TUKO UTUMWANI ULAYA.
Siku ya leo miaka 62 iliyopita ardhi yetu ya Tanzania ilitambulika rasmi kama ardhi huru.
Kwajitihada za wazee wetu ambao pengine baada uhuru hawakujulikana sana.
Lakin swali la kujiuliza, Ardhi imekuwa huru sio mali...
Tukirudi nyuma kidogo,
Tareh 22/6/2022 urusi na Ukraine kwa usimamizi wa uturuki na umoja wa mataifa waliingia mkataba wa makubaliano ambao urusi iliridhia nafaka za Ukraine ziruhusiwe kutoka Ukraine kupitia bahari nyeusi kwaajili program ya umoja wa mataifa ya kuhami nchi masikini dhidi ya...
Vita ya Ukraine itaenda kutengeneza mpangilio mpya wa dunia, urusi hana mpango na wala hafikirii kushindwa kama alivo sema Vladimir Putin wataendelea mpaka malengo yao yatimie, kushinda kwa Urusi maana yake kufeli kwa siasa za marekani za kutetea mfumo wao wa mda mrefu (demkrasia) na hii maana...
Kinachoendela hivi sasa kati ya urusi na Ukraine katika ile miji ya donbas ni hatari kwa africa. Urusi imeitambua miji ya Donetsk na Luhansk kama nchi huru zinazojitegemea, haya maeneo kijiografia yamepakana na urusi lkn kwa makubaliano ya umoja wa mataifa baada vita ya pili ya dunia ni sehem...
Kwa jinsi kesi inavyoenda na hukumu ndogo ndogo zinavotupiliwa mbali ni wazi tayari kuna malekezo ya wapi kesi ifike na mpaka ifike huko basi muda utakuwa umsogea sana rais atakuwa ameisha onesha muelekeo wake anatupeleka wapi.
Wakati SSH anaingia na wapinzani wakaanza makongamano ya katiba...
Hana haja ya kuamimiwa na wanachi kwan mwanzo anaingia vile vyama vilivyomchangua vilipewa idhini na wanachi..?
Viliiba maandamano ya wanachi vikafanya majadiliano na wanajeshi baadae vikamchagua hamduk.
Nani alivipa mamlaka hivi vyama je niwananchi..?
Serikali za mpito ndio hivi angalia Libya...
Hata wasinge jiuzulu kwa mujibu wa makubaliano waliongia baina ya jeshi na hamduk yanamtaka aunde serikali isiyo ya vyama ( technocrats) na vyama vijiandae na uchaguzi, wamewajibika kisiasa tu hata wasingewajibika ilikuwa ni lazima watolewe.
Kwanza serikali inahaizna ya magari kama yale mengi, wamechagua tu moja wamempa wala hajanunuliwa.
Halafu gari walilompa sio hisani sababu ya uzuri wake au urefu au uzee wake, kama hivyo basi kuna wazee wengi na kuna watu wafupi wengi, ila kapewa sababu alikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano...
Kama tunavojua mwenyekiti wa CCM aliwahi kutamka haiwezekani mavyeo mengi yote apewe mtu mmoja.
Na leo kamteua pole pole kuwa mbunge, kwa namna tunavojua mbunge anatakiwa mda mwingi awe bungeni na field kwa wananchi jumbo ambalo halita mpa nafasi kubwa pole pole ya kuoperate kama katibu...
Unapozungumzia Viti maalum wa 2020 hawa 19 WALIOCHAGUANA unazungumzia ngome kongwe ya viongozi wa wanawake wa chadema (BAWACHA).
Nakukumbusha katibu mkuu utendaji wako juu ya hili kundi sio tu unawaathiri wao kama viti maalum bali unaathiri mfumo mzima wa balaza lako la wanawake ambalo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.