Recent content by JELA

  1. JELA

    Utata uliojificha kuhusu Corona

    ;..,7⅞çu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. JELA

    Kesi ya Zitto Kabwe; Shahidi apiga yowe Mahakamani baada ya kubanwa na Wakili Kibatala

    shahidi anasema yule polisi huwa wanacheza nae draft karibu kila siku, wakati huo polisi anasema alikuwa anapita tu na kuona kundi la watu wanaangalia video ya zitto youtube
  3. JELA

    Ninaikumbuka ile CCM ambayo ukivaa sare zake unazomewa mitaani

    Ni wapi katika video ya pili watu wanaishangilia ccm? nachoona ni picha mnato zilizoonganishwa na kupata video, na sauti za watu wanaoshangaa
  4. JELA

    Wapi naweza kupata simu aina ya Oppo r11 nikiwa Dar?

    Wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyoeleza, ninahitaji simu aina ya OPPO R11 nyeusi nimejaribu kuzunguka kariakoo sijapata kwa mwenye ufahamu naomba kujuzwa.
  5. JELA

    Jesca Kishoa kwa hili la kumkosoa Kafulila hadharani na kufuta picha zake kwenye mitandao yako ya kijamii, umekosea

    mke wangu, hata akinitania tu, eti mimi kuanzia leo nashabikia CCM, yaani HATA KUGEGEDANA nae ndio mwisho siku hiyo, inafuata talaka, sitaki upuuzi mimi, ukiwa mCCM unakuwa muongo muongo, ukiwa mCCM unakuwa na visasi, ukiwa mCCM
  6. JELA

    Nina tatizo la ngozi , yapata mwezi wa 5

    ntajaribu vitunguu swaumu pia sky eclat ni majina gani ya antfungal cream na steroid cream na tablets zipi ili niende dukani nikiwa najua naenda kununua dawa ipi?
  7. JELA

    Nina tatizo la ngozi , yapata mwezi wa 5

    asante, sky eclat pia asante kideko
  8. JELA

    Nina tatizo la ngozi , yapata mwezi wa 5

    habari jf doctor! Nina tatizo langozi yapata mwezi wa tano tokea lianze, nimekwenda hospitali, nimepima mpaka damu kwa ajili ya HIV nikapewa majibu, nikaambiwa sina HIV, isipokuwa nimeliweka tatizo muda mrefu bila tiba. Ni kweli tatizo lilianza muda mrefu kuanzia mapajani , kwani...
  9. JELA

    Muhongo kaondoka, Mgao wa umeme umeanza

    ni mgao ni mkali, mimi naishi kinyerezi dar, siku ya tatu umeme hamna
  10. JELA

    Prof. Kitila Mkumbo: Lowassa ameonyesha ujasiri wa hali ya juu!

    Hata wewe na familia yako yote mkiongoza vizuri wananchi wote tutawapenda na kuwapa kura zetu, shida ya wananchi si kabila bali ni maendeleo yao wanachi.
  11. JELA

    Hotuba ya Mhe. Mbowe ina ubora kuzidi hotuba zote tangu mwaka 1995!

    Nilipenda pale aliposema, mtu anakuletea mtaji wa watu 1,000,000 ukatae ili iweje? Kwa upande wangu nilichokiona ni kupata supporters wengi kwani lengo la chama chochote cha siasa ni kushika dola, dola haishikwi bila wanachama au mashabiki wengi.
  12. JELA

    Kwa hili; kweli mbowe ana upeo mdogo sana!

    jembe mbowe alimaanisha madhara ya kurudia chaguzi, na si kutofutwa chadema, usiongee kishabiki ongea uhalisia
Back
Top Bottom